• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Maktaba ya Video

  • SHINYANGA YAWAKILISHA KWA KISHINDO MWENGE WA UHURU 2025 HATUA KUBWA ZA MAENDELEO, UWAZI KWA WANANCHI

    August 28th, 2025

    Karibu utazame Makala maalum ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 katika Mkoa wa Shinyanga!  Mwenge wa Uhuru umepita kwenye Halmashauri zote za Mkoa huu, ukikagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo. Kupitia Makala hii, utaona namna wananchi, viongozi na taasisi mbalimbali walivyoshiriki kwa pamoja katika kuenzi tunu ya Uhuru, Uwajibikaji na Maendeleo kwa wote.Makala hii inaonesha mshikamano, uwazi na jitihada za Serikali ya Mkoa wa Shinyanga chini ya uongozi wa Mkuu wa Mkoa, Mhe. Mboni Mhita, katika kusimamia utekelezaji wa miradi ya wananchi kwa weledi na uaminifu.

  • SHINYANGA YAWAKILISHA KWA KISHINDO MWENGE WA UHURU 2025 HATUA KUBWA ZA MAENDELEO, UWAZI KWA WANANCHI

    August 28th, 2025

    Karibu utazame Makala maalum ya Mbio za Mwenge wa Uhuru 2025 katika Mkoa wa Shinyanga!  Mwenge wa Uhuru umepita kwenye Halmashauri zote za Mkoa huu, ukikagua, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi mbalimbali ya maendeleo. 

    Kupitia Makala hii, utaona namna wananchi, viongozi na taasisi mbalimbali walivyoshiriki kwa pamoja katika kuenzi tunu ya Uhuru, Uwajibikaji na Maendeleo kwa wote.

    Makala hii inaonesha mshikamano, uwazi na jitihada za Serikali ya Mkoa wa Shinyanga chini ya uongozi wa Mkuu wa Mkoa, Mhe. Mboni Mhita, katika kusimamia utekelezaji wa miradi ya wananchi kwa weledi na uaminifu.

    *#MwengeWaUhuru2025

      #ShinyangaYetu 

     #MaendeleoKwaWote

      #Uwajibikaji 

     #OfisiYaMkuuWaMkoa

      #RCShinyanga 

     #TanzaniaYaViwanda*

  • RC MHITA ALIVYOTOA KIBALI CHA KUTUMIKA KWA SOKO LA IBINZAMATA KUWA GULIO.... ASISITIZA ...

    August 25th, 2025

    Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, Mhe. Mboni Mhita ametoa wito kwa mamlaka husika kuhakikisha kuwa vitambulisho vya wafanyabiashara wadogo vinatolewa kwa wakati bila ucheleweshaji, ili kuwawezesha wananchi kuendesha shughuli zao halali kwa utulivu na bila bugudha.

    Akizungumza kwenye Kongamano la wafanyabiashara Ndogondogo kilichofanyika kwenye ukumbi wa Ofisi ya Mkuu huyo wa Mkoa,  RC Mhita amesema kuwa ucheleweshaji wa vitambulisho hivyo unakwamisha juhudi za kujenga mazingira rafiki ya biashara mkoani humo, hasa kwa wafanyabiashara wadogo wanaotegemea biashara zao za kila siku kwa maisha yao.

    “Vitambulisho hivi vinapaswa kuwafikia walengwa kwa wakati. Tukichelewesha tunawapunguzia fursa za kiuchumi. Ninataka kuona kila mfanyabiashara anayestahili anapatiwa kitambulisho bila urasimu,” alisema RC Mhita.Katika hatua nyingine,

     Mkuu huyo wa Mkoa ameridhia matumizi ya Soko la Ibinzamata kama gulio kwa siku moja kwa wiki, ikiwa ni sehemu ya mpango wa kuhamasisha biashara na kuwapa fursa wakazi wa maeneo hayo kufanya shughuli za kiuchumi kwa urahisi.

    Hatua hiyo inalenga kuimarisha uchumi wa wananchi wa maeneo ya pembezoni, sambamba na kupunguza msongamano katika masoko makuu ya mjini.RC Mhita amewataka viongozi wa halmashauri na wadau wa maendeleo kuendelea kushirikiana na wafanyabiashara ili kuhakikisha fursa zilizopo zinawanufaisha wananchi wengi zaidi.

  • ← Prev
  • 1
  • 2
  • 3
  • 4
  • 5
  • 6
  • 7
  • Next →

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • AFISA UTAMADUNI MKOA AKUTANA NA MAAFISA UTAMADUNI WA HALMASHAURI ZA MKOA WA SHINYANGA KUJADILI UBORESHAJI WA UKUSANYAJI MAPATO KUPITIA MAKTABA ZA VIDEO

    October 21, 2025
  • RC MHITA AKABIDHI MAGARI 5 MAPYA KWA JESHI LA ZIMAMOTO SHINYANGA, ASEMA YATASAIDIA KUOKOA MAISHA ZAIDI

    October 20, 2025
  • SHINYANGA IKO SALAMA, WANANCHI JITOKEZENI KUPIGA KURA KWA AMANI- RC MHITA

    October 20, 2025
  • VIONGOZI WA DINI SHINYANGA WAHAMASISHA AMANI NA USHIRIKI WA UCHAGUZI OKTOBA 29

    October 18, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

Viunganishi Linganifu

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa