Mifuko hiyo imekamatwa kupitia kikosi kazi maalumu kilichoundwa na Mkoa ili kuendelea na zoezi lililoanza Mwezi Oktoba mwaka jana 2018 lenye lengo la kuwakamata wahujumu uchumi Mkoani hapa.
Makabidhiano ya Mwenge wa Uhuru 2018 Mkoani Shinyanga katika kijiji cha Wishiteleja, Wilayani Kishapu.
Shamrashamra za Mwenge wa Uhuru Mwaka 2018 Mkoani Shinyanga katika kijiji cha Wishiteleja Wilayani Kishapu ukiwasili kutokea Mkoani Simiyu Tarehe 20/08/2018.
Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa