KATIBU Tawala Mkoa wa Shinyanga CP. Salum Hamduni amekutana na Kamati ya Michezo kutoka Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) iliyomtembelea Ofisini kwake kwa lengo la kujitambulisha na kisha kumjulisha kuwa pamoja na mambo mengine, lakini wamefika hapa Shinyanga kuangalia vipaji vya wanamichezo na kushiriki michezo mbalimbali
OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA
Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA
Simu: +255 28 2762222
Simu ya Mkononi:
Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz
Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa