• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

DC MKUDE ASHUHUDIA UTIAJI SAINI HATI YA MAKUBALIANO

Posted on: March 6th, 2024

Na. Shinyanga RS

MKUU wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Joseph Mkude leo tarehe 6 Machi, 2024 katika Ukumbi wa Mikutano uliopo Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu ameshuhudia utiaji saini kati ya Mgodi wa Williamson Diamond Limited na Halmashauri ya Kishapu ambapo jumla ya Tzs. Bilioni moja imetolewa na Mgodi kwa ajilia Mrejesho kwa Jamii utokanao na Mapato Ghafi kwa mwaka 2024/2025.

Akizungumza wakati utiaji saini huu, Mhe. Mkude ameutaka uongozi wa mgodi kuimarisha uhusiano wake na wanajamii wanaozunguuka mgodi sanjari na kuwashirikisha kwa kila kitu ikiwemo kujuwa mipango yao dhidi wananchi jambo litakalopelekea wao kuwa sehemu ya umiliki pamoja kuimarisha uhusiano na mawasiliano kati yao na Halmashauri ya Kishapu kabla, wakati na baada ya kuanza kutekeleza miradi kwa jamii ili kuepuka kujirudia rudia kwa miradi hiyo.

"Niwatake Uongozi wa Mgodi kuimarisha uhusiano kati yenu na Jamii pamoja na Halmashauri katika utekelezaji wa miradi ya maendeleo, jambo ambalo litaifanya jamii kuwa sehemu ya umiliki, kuwa sehemu ya ulinzi wa mali na mgodi sanjari na kuepuka mgongano wa miradi iliyopendekezwa na Halmashauri na ile ya Mgodi", amesema Mhe. Mkude.

Akizungumza kwa niaba ya Mgodi Ndg. Bernald Mihayo ambaye ni Afisa Uhusiano amesema kuwa, urejeshwaji wa fedha hizi ambazo zinatokana na gawiwo la 0.7% ya Mapato Ghafi ni utekelezaji wa takwa la kisheria, huku akiwaomba wananchi kuwa sehemu ya umiliki wa Mgodi huu ikiwa ji pamoja na kuzuia hujuma jambo ambalo lawezapelekea kushuka kwa uzalishaji na mrabaha pia ambao wao ndiyo wanufaika zaidi.

Utiaji saini huu wa Hati ya Makubaliano (MoU) unatajwa kuwanufaisha wananchi wa Wilaya ya Kishapu, maalumu wa vijiji 12 vinavyozunguka Mgodi wa Williamson Diamond Limited ambapo Tzs. Bilioni 1 zimetolewa kwa mchanganuo wa Milioni 600 kutekeleza miradi ya kimkakati na Milioni 400 itarejeshwa katika vijiji 12 vinavyozunguka Mgodi.


HABARI PICHA


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • MAISHA BAADA YA KUSTAAFU YANAHITAJI UTULIVU - DC. MTATIRO

    May 26, 2025
  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa