• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

DC Taraba akemea mila potofu ya Waganga wa kienyeji kuwaosha mabinti ili waolewe

Posted on: December 4th, 2019

Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Nyabaganga Taraba amekemea tabia ya baadhi ya Waganga wa Kienyeji Mkoani hapa ya kuwapa dawa mabinti wadogo kwa madai ya kuwaosha  ili waolewe.

Mhe. Taraba akizungumza na wananchi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, wakati wa maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani tarehe 1 Desemba, 2019 yaliyofanyika Kimkoa katika Wilaya ya Kishapu, kata ya Ukenyenge, kijiji cha Negezi amesema tabia hiyo inayotokana na mila potofu inachochea ndoa, mimba za utotoni na hatari ya kupata maambukizi ya Virusi vya UKIMWI.

"Ugonjwa wa UKIMWI bado upo na bado hauna chanjo wala tiba isipokuwa dawa za kufubaza virusi" amesema Mhe. Taraba.

Amewataka wananchi kuendelea kujikinga na ugonjwa huo kwa kuwahimiza kupima Afya zao kila mara, hasa wanaume na kupingana na matumizi ya madawa ya kulevya.

Aidha, Taraba amewakumbusha wananchi kutowanyanyapaa watu wenye Virusi vya UKIMWI na kuwa na hofu ya Mungu akisisitiza kuwa, ugonjwa huu unatokana pia na watu kutotenda matendo mema.

Maadhimisho hayo yamepambwa kwa burudani mbalimbali za ngoma za asili, mashairi na maigizo yaliyolenga kuwakumbusha wananchi kujikinga na ugonjwa wa UKIMWI.

Angalia Matukio mbalimbali ya maadhimisho hayo katika picha hapa chini

Mgeni Rasmi wa Maadhimisho ya Siku ya UKIMWI Duniani Mkoani Shinyanga, Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Nyabaganga Taraba, akiingia uwanja wa Shule ya Sekondari Ukenyenge yalipofanyika maadhimisho hayo Kimkoa hapo tarehe 01 Desemba, 2019


Diwani wa Kata ya Ukenyenge akimkaribisha Mgeni Rasmi na wananchi wote katika  maadhimisho ya siku ya UKIMWI Duniani yaliyofanyika Kimkoa katika kata hiyo


Wanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Ukenyenge Wilaya ya Kishapu wakifuatilia matukio katika uwanja wa shule hiyo yalipofanyika maadhimisho ya siku ya UKIMWI Kimkoa



Mratibu wa UKIMWI Mkoa wa Shinyanga Dkt. Mlacha, akitoa taarifa ya hali ya maambukizi katika Mkoa

Kaimu Katibu Tawala Mkoa Bw. Joachim Otaru, akimkaribisha Mgeni rasmi kuzungumza na wananchi kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga


Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Afya Dkt. Rashid Mfaume akitoa ujumbe wa siku ya UKIKWI Duniani mwaka 2019

Wananchi mbalimbali waliohudhuria katika maadhimisho hayo wakifuatilia matukio yanayoendelea uwanjani hapo

Mgeni rasmi akipata maelezo katika banda la wadau wa masuala ya UKIMWI kuhusu faida na matumizi ya Kondomu kama kinga ya kuzuia maambukizi ya Virusi vya UKIMWI

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa