• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

"Furaha yangu" yazinduliwa Shinyanga

Posted on: July 29th, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amezundua rasmi kampeni ya kupima virusi vya UKIMWI na kuanza kutumia dawa za kufubaza virusi ARV mapema, katika viwanja vya shule ya msingi Tinde, Kata ya Tinde, Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.

Kampeni hii ya Kitaifa inayoitwa “Furaha yangu – Pima, Jitambue, Ishi”, inasimamiwa na Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto kupitia mpango wa Taifa wa kudhibiti UKIMWI kwa kushirikiana na mradi wa USAID – Tulonge Afya na wadau wengine.

Akizindua kampeni hiyo Mhe. Telack amewataka wanaume kupima afya zao badala ya kuwaachia wake zao wanapokwenda kupima wajiridhishe na majibu yao. Telack amesema kuwa, kila mtu ana mwili wake hivyo hata kupata maambukizi miili inatofautiana, kwa hiyo wasiridhike na majibu ya wanawake, washiriki pia katika kupima.

Akitoa taarifa ya hali ya ushamiri, Mganga Mkuu wa Mkoa Dkt. Rashid Mfaume, amesema bado kiwango cha maambukizi ya UKIMWI kipo juu ya kiwango cha Kitaifa kwa asilimia 5.9 japo kiwango kimeshuka kutoka 7.2 mwaka 2015.

Dkt. Rashid amesema kuwa, Mkoa umeendelea kutekeleza afua mbalimbali kwa kushirikiana na wadau kuhimiza upimaji ambapo hadi hivi sasa tayari 364,361 wananchi wameshapima, Huduma za tohara wanaume waliofikiwa hadi sasa ni 54,868, Huduma za kuzuia maambukizi kutoka kwa mama kwenda kwa mtoto, Huduma na mafunzo kwa walioathirika. 

Amesema Lengo la kampeni ni kuwafikia wananchi ambao hawajatambua hali zao ili wajitambue kwani wanaendelea kuongeza maambukizi kwenye jamii.

Kampeni hii itaendelea kwa muda wa miezi sita katika Mkoa wa Shinyanga.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa