• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

HAKUNA HAJA YA KWENDA MWANZA AUDAR KUGUATA TIBA ZA KIBINGWA, SHINYANGA TUNAZO - RC MACHA

Posted on: July 27th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamingi Macha amewashauri wananchi kutopapa shida ya kusafiri nje ya Mkoa wetu kwenda Mwanza, Dar es salaam au mkoa mwingine wowote kwa ajili ya kufuata huduma za kitibabu kwani kwa sasa zinapatikana hapa hapa Shinyanga huku akitolea mfano wa uwepo wa daktari bingwa kabisa wa pua, masikio na kinywa katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala - Kahama.

RC Macha ameyasema haya tarehe 27 Julai, 2024 alipokuwa akifunga maonesho ya Afya Code Clinic iliyoandaliwa na Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga kupitia Idara ya Afya kwa kushirikiana na Jambo Group kupitia Jambo FM ambapo pamoja na mambo mengine lakini wananchi wamewezapata huduma ya vipimo, elimu na tiba bure bila malipo kutoka kwa wataalam na watoa huduma mbalimbali ikiwemo Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga, The Agakhan Hospital, Chuo cha Afya Kolandoto nk.

"Niwashauri wananchi wote wa mkoa wa shinyanga na maeneo jirani kuwa, sisi Shinyanga kwa sasa tunao madaktari bingwa wengi ambao hapo awali wananchi mngeweza kusafiri kufuata huduma hizi Mwanza, Dar es Salaam au mkoa mwingine mbali lakini hivi sasa wapo hapa hapa Shinyanga ni jambo la kumpongeza sana Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hasaan kwa kuwezesha upatikanaji wa wataalam hawa, vifaa tiba na dawa pia," amesema RC Macha.

Kando na hili, pia amesisitiza sana kuendelea na kuongeza kwa wataalamu wa afya zaidi katika utoaji wa elimu kwa wananchi juu ya kujikinga dhidi ya magonjwa kuliko kutanguliza tiba huku akitoa wito kwa wananchi wa mkoani Shinyanga kujiwekea utamaduni wa kupima afya zao mara kwa mara pamoja na kupata matibabu mapema.

Kwa upande wake Meneja wa Jambo FM ndg. Nivkson George mesema kwamba walipopata wazo la kuanzisha Afya Code Clinic ndiyo wakaona watutafute wadau wa kushirikiana nao, na hapo wakakutana na Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga, kwa lengo la kuhakikisha wananchi wa mkoa huo wanakuwa na maisha mazuri na wenye afya njema ambapo inatajwa kuwa ndani ya siku nne za Afya Vode Clinic wananchi zaidi ya elfu 7 wamepata huduma mbalimbali za afya bure.


HABARI PICHA


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa