• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KACU YAKABIDHI HUNDI YA MALIPO YA PAMBA AWAMU YA PILI

Posted on: February 17th, 2024

CHAMA Cha Ushirika Kahama (KACU) kimetoa hundi ya malipo ya pamba awamu ya pili ikiwa ni sehemu ya malipo yatokanayo na faida waliyoizalisha kwa msimu wa kilimo uliopita, huku wakianisha baadhi ya malengo yao ikiwemo kuanzisha ujenzi wa mtambo wa kukamua mafuta na kutengeneza mkaa ifikapo Machi, 2024 ikiwa pia ni utekelezaji wa maelekezo ya Mhe. Christina Mndeme, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga.

Akitoa taarifa ya awali kwa mgeni rasmi Mwenyekiti wa Bodi ya KACU LTD Ndg. Tano Mwandu alisema kuwa, KACU inakwenda vizuri sana ambapo kwa msimu wa kilimo 2023/2024 wamefanikiwa kununua jumla ya kilo za pamba mbegu 5, 175, 466 zenye zaidi thamani ya Tzs. Bilioni 5.4 kutoka kwa Halmashauri 4 za Ushetu, Msalala, Kahama Manispaa na Kishapu ambazo ni sawa sawa na 86.26% ya lengo la kununua kilo Milioni 6.

Pamoja na kumpongeza Mrajis Msaidizi Mkoa wa Shinyanga Bi. Hilda Boniphace kwa kazi nzuri anazofanya, pia RC MNDEME ameipongeza sana Bodi yote, wadau ikiwemo Benki ya Wakulima TADB, wakulima na watumishi wote kwa ujumla wao kwa kazi bora kabisa wanazozifanya jambo ambalo leo limetoa matunda yenye tija kwa pande zote na wote wameona.

"Nawapongeza sana Bodi ya KACU LTD, Mrajis Msaidizi wa Mkoa, watumishi, wadau ikiwemo na TADB BANK na watumishi kwa kazi nzuri mnayoifanya ambayo leo tunashuhudia mafaniko ya wazi kabisa, nyote mnastahili pongezi za dhati kabisa katika hili, sasa ongezeni kasi ili mfikie malengo kwa mwaka huu kama mlivyojipangia", amesema RC MNDEME.

Aidha RC MNDEME alipongeza sana Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita @mboni_mhita na Mbunge wa Jimho la Ushetu Mhe. Emmanuel Charahani @cherehanipeter kwa kazi nzuri wanazozifanya za kuwatumikia wananchi na kuwaletea maendeleo.

Pamoja na mambo mengine kwa mwaka huu KACU LTD inatarajia kuanza kutekeleza mradi wa kukamua na kusafisha mafuta, kutengeneza mkaa ili kupngeza mnyororo wa thamani wa zao la pamba na hatimaye kuongeza faida itokanayo na mradi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa