• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA SIASA MKOA WA SHINYANGA YAPONGEZA UTEKELEZAJI WA MRADI WA JENGO LA UTAWALA - MSALALA

Posted on: February 19th, 2024

Na. Shinyanga RS.

KAMATI ya Siasa Mkoa wa Shinyanga imeanza ziara yake ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo na utekelezaji wa Ilani ya CCM ambapo kwa leo tarehe 19 Februari, 2024 Kamati imekagua miradi mitatu katika Halmshauri ya Msalala ikiwemo ujenzi wa stendi ya mabasi iliyopo Isaka, jengo la utawala na Kituo cha Afya Segese na kupongeza sana utekelezaji wa mradi jengo la utawala huku likitajwa kuleta tija na ufanisi katika utoaji huduma kwa wananchi.

Hayo yamesemwa na Ndg. Mabala Mlolwa ambaye ni Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga katika ziara ya ukaguzi wa miradi ya maendeleo kwa Halmashauri zote 6 za Mkoa.

Akizungumza baada ya ziara hii Mhe. Mboni Mhita DC Kahama ambaye amemuwakilisha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amesema kuwa, anaishukuru sana Kamati ya Siasa Mkoa wa Shinyanga kwa kufika na kukagua utekelezaji huu wa Ilani ya CCCM kwani kwa kufanya hivi kunasaidia sana kuona kama wapo katika njia sahihi au warekebishe.

"Ndugu Mwenyekiti wa Kamati ya Siasa Mkoa wa Shinyanga, nichukue fursa hii kuwapongeza kwa kufika na kukagua miradi yetu hii ya kimkakati, kwa niaba ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga nipende kusema tu kuwa yote mliyoshauri na kuelekeza tumeyapokea na tunawaahidi kwenda kuyatekeleza kwa weledi na ufanisi mkubwa zaidi", amesema Mhe. Mboni.

Aidha Mhe. Mboni pia amemshukuru san Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuipatia fedha nyingi za miradi ya mendeleo ambapo kupitia Sekta mbalimbali wanaendelea kutekeleza ikiwemo miradi ya kimkakati ya Stendi mpya ya Isaka ambayo itakuwa pia ni sehemu ya chanzo cha mapato ya Halmashauri.

Kamati pia imetembelea na kukagua miradi ya jengo la utawala ambalo limeongeza ari, tija na utawala bora katika utoaji wa huduma kwa wananchi wa Msalala na ujenzi wa Kituo cha Afya Segese ambapo kukamilika kwake kunakwenda kuondoa adha ya wananchi kufuata huduma ya Kituo umbali mrefu na hapo awali ilikuwa stendi mpya ya Isaka.

Hii ni Halmashauri ya kwanza kati ya 6 zitakazoqngaziwa na Kamati hii ya Siasa  Mkoa wa Shinyanga, ambapo tarehe 20 Februari Kamati itakuwa Ushetu.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • MAISHA BAADA YA KUSTAAFU YANAHITAJI UTULIVU - DC. MTATIRO

    May 26, 2025
  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa