• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KAMATI YA SIASA MKOA WA SHINYANGA YARIDHISHWA NA UJENZI WA NYAHANGA SEKONDARI - KAHAMA

Posted on: February 21st, 2024

Na. Shinyanga RS.

KAMATI ya Siasa Mkoa wa Shinyanga ikiongozwa na Ndugu Mabala Mlolwa imeipongeza Halmashauri ya Manispaa ya Kahama kwa ujenzi wa shule mpya ya Sekondari ya Nyahanga ambayo imeanzankuyumika rasmi Januari, 2024 na kupokea wanafunzi zaidi ya 600 kutoka maeneo mbalimbali ya Manispaa.

Pongezi hizi zimetolewa leo tarehe 21 Februari, 2024 wakati Kamati ilipotembelea na kukagua ujenzi huu ikiwa ni sehemu ya ukaguzi wa utekelezaji wa Ilani ya CCM 2020/2025 katika Manispaa ya Kahama ikiwa ni sehemu ya ukaguzi wa Sekta ya Elimu (Sekondari ya Nyahanga), Afya (Zahanati ya Bukooba) na Miundombinu ( KM 1.39).

"Kwa niaba ya Kamati ya Siasa Mkoa wa Shinyanga, tunawapongeza Halmashauri ya Manispaa ya Kahama kwa kutekeleza vema Ilani ya CCM kwa vitendo, na haya ndiyo matarajio ya Chama Cha Mapinduzi kwa wananchi wake ya kuwaletea maendeleo yenye tija", amesema Ndg. Mabala.

Ndg. Mabala ameziagiza Halmashauri zote Mkoa wa Shinyanga juu ya suala la utayari kwa wananchi kuanza kuchangia chakula mashuleni ili kuwawezesha wanafunzi kusoma kwa tija, jambo ambalo litapelekea kuondoa utoro na kuuongeza ufaulu pia huku akisisitiza kuwa shule ikikwama kabisa itoe huduma ya uji kwa wanafunzi.

Kamati ya Siasa, pamoja na ukaguzi wa kuona namna inavyotekelezwa Ilani ya CCM lakini piq imefanya mkutano wa hadhara katika Kata ya Nyahanga ambapo imepokea, kusikiliza na kutatua kero za wananchi.

Tarehe 22 Februari, 2024 Kamati ya Siasa itakagua utekelezaji wa Ilani katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.Sehemu ya picha ikionesha baadhi ya majengo ya Nyahanga Sekondari

Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Shinyanga Ndg. Mabala Mlolwa (kushoto) akiwa na Prof. Siza Tumbo ambaye ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga wakiwa katika ziara Wilayani Kahama.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa