• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

KAMILISHENI MIRADI YOTE HARAKA ILI IANZE KUTUMIKA

Posted on: September 25th, 2023

Na. Shinyanga RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina S. Mndeme leo tarehe 25 Septemba, 2023 amekagua kuweka Jiwe la Msingi ujenzi wa Jengo la Dhurla (EMD) litakalogharimu zaidi ya Milioni 350 katika Hospitali ya Manispaa ya Shinyannga pamoja na kuridhishwa na kazi inayotekelezwa hapo lakini pia ameagiza kukamilisha ujenzi huu ifikapo Septemba 30, 2023 ili wananchi waanze kupata huduma hapa.

Mhe. Mndeme pia amekagua na kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa madarasa 11, mabweni 4 na matundu ya vyoo 16 wenye thamani ya Milioni 860 katika Sekondari ya Old Shinyanga huku akiwaagiza kuongeza kasi ya ujenzi ili ifikapo Oktoba1, 2023 mradi uwe umekamilika tayati kwa kutumiwa huku akiwapongeza kwa ubunifu wao mkubwa ambao wameuonesha katika utekelezaji huu wa mradi ambapo kwa fedha hizo hizo ambazo zingejenga bweni la wanafunzi 80, sasa zinajenga bweni la wanafunzi 120.

Katika ziara hii pia ametembelea, kukagua na kufungua rasmi Zahanati ya Seseko katika Kata ya Mwamalili iliyogharimu zaidi ya Milioni 95 ambapo inakadiriwa zaidi ya wakazi 2700 wayanufaika na uwepo wa Zahanati hii ikiwa na lenho kuu la kuwasogezea huduma karibu amnapo itapunguza vigo vya akina mama wajawazito na watoto wachanga kwa Kijiji hiki na maeneo jirani.

"Leo nimetembelea, kukagua, kuweka mawe ya msingi katika jengo la Dharula linalojengwa katika Hospitali yenu, ujenzi wa madarasa, mabweni na matundu ya vyoo katika Shule ya Sekondari Old Shinyanga, kufungua rasmi Zahanati ya Seseko, hakika niwapongeze sana kwa kqzi nzuri mnazofanya lakini niwatake kukamilisha miradi yote hii haraka ili ianze kutumika ili walengwa waanze kunufaika na ndiyo lengo la Serikali ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa wananchi wa Shinyanga," alisema Mhe. Mndeme.

Mhe. Mndeme amehitimisha ziara hii kwa kufanya mkutano wa hadhara ambapo amesikiliza na kutatua kero mbalimbali za wananchi huku kero kubwa ikijirudia ya ukosefu wa nishati ya umeme na kuchakaa kwa miundombinu iliyopo ya maji. Ambapo Mhe. Mndeme alimtaka mkandarasi wa REA kuhakikisha anafikisha umeme eneo hilo ifikapo Oktoba 30, 2023 na kwa upande wa maji SHUWASA wameahidi kurekebisha kasoro hizo.




Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa