• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MAFANIKIO YA UONGOZI WA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN NDANI YA MIAKA MITATU

Posted on: March 9th, 2024

Na. Shinyanga RS.

KAIMU Meneja wa TANROADS Mkoa wa Shinyinga Mhandisi Samuel Joel Mwambungu amesema kuwa, ndani ya kipindi cha uongozi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, TANROADS Shinyanga imepokea kiasi cha zaidi yaTzs. Bilioni 325 kwa ajili ya utekelezaji wa miradi ya miundombinu ya barabara, madaraja na Uwanja wa Ndege wa Shinyanga.

Haya yamebainishwa leo tarehe 9 Machi, 2024 na Mha. Joel alipokuwa akizungumza na wanahabari kuwaelezea Mafanikio ya Serikali ya awamu ya sita ndani ya kipindi cha miaka mitatu ambapo pamoja na kueleza mazuri mengi ambayo Mhe. Rais ameifanyia TANROADS Shinyanga lakini pia Mha. Joel amemshukuru sana Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa juhudi kubwa anayowafanyia wanashinyanga katika kuwaboreshea miundombinu ya barabara.

"Namshukuru sana Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kazi na juhudi nzuri na kubwa ya kuwaletea maendeleo wanashinyanga hasa katika miundombinu ya barabara, madaraja na ukarabati mkubwa wa uwanja wa ndege wa Shinyanga ambapo ndani ya miaka mitatu ya uongozi wake mahiri TANROADS Shinyanga imepokea zaidi ya Tzs. Bilioni 325," amesema Mha. Joel.

Pamoja na mafanikio haya Mha. Joel amemshukuru pia Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa fedha kiasi cha Tzs. Bil. 47.2 zilizoelekezwa kwa Wakandarasi Wazawa ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa Sera yake kupitia Wizara ya Ujenzi kuhusu Local Content Strategy.

TANROADS Shinyanga unahudumia Mtandao wa Barabara wenye jumla ya Km 1, 177.74 na jumla ya Madaraja 309 (kilomita 277.10 ni barabara kuu, kilomita 787.54 ni barabara za Mkoa wakati kilomita 113. 1 barabara zilizokasimiwa)

Aidha Mha. Joel amewataka wananchi kuacha kufanya ahughuli za kibinadamu pembezoni mwa hifadhi ya barabara na badala yake waitunze sanjari na kuacha hujuma dhidi ya miundombinu ya barabara ikiwemo na alama  zake.


HABARI PICHA


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa