• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Matukio katika picha, ziara ya Mhe. Balozi Seif Ally Iddi Mkoani Shinyanga

Posted on: February 13th, 2019

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ally Iddi amefanya ziara ya siku tatu katika Mkoa wa Shinyanga kuanzia tarehe 10 - 13 Februari, 2019 kwa lengo la kutembelea na kukagua utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi Mkoani hapa.

Katika ziara yake aliyoambatana na Mkewe, Mhe. Balozi Seif ametembelea Wilaya zote tatu za Kahama, Kishapu na Shinyanga ikiwemo kuona shughuli zinazofanywa na Mgodi wa Dhahabu Mwadui, kutembelea Hospitali ya Wilaya ya Kishapu ya Dkt.Jakaya Kikwete na kushiriki ujenzi wa msingi wa Hospitali ya Wilaya ya Shinyanga.

Mama Asha Suleiman Iddi, mke wa Makamu wa Pili wa  Rais wa Zanzibar akimpa pole mgonjwa katika wodi ya wazazi, Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga tarehe 12/02/2019

Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ally Iddi akimkabidhi Mkuu wa Shule ya Sekondari ya Dakama, jezi jozi mbili kwa ajili ya mpira wa miguu shuleni hapo, tarehe 11/02/2019 katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu, o.

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ally Iddi, akikabidhi "printer" kwa ajili ya matumizi ya kituo cha Polisi Ushetu

Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ally Iddi akishiriki ujenzi wa msingi wa Hospitali ya Wilaya ya Shinyanga hapo tarehe 12/02/2019 katika kata ya Iselamagazi, Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga.


Waliokaa kuanzia kushoto ni Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga Bw. Mabala Mlolwa, Makamu wa pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Balozi Seif Ally Iddi, Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack na Mke wa Mhe. Balozi mama Asha Suleiman Iddi wakiwa katika mkutano na wanachama wa Chama cha Mapinduzi Ushetu.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa