Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MHE. KATAMBI AKABIDHI MAGARI

Posted on: June 24th, 2024

MHE. KATA,BI AKABIDHI MAGARI HOSPITALI YA RUFAA YA MKOA WA SHINYANGA.


Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MBUNGE wa Jimbo la Shinyanga Mjini Patrobas Katambi, amekabidhi magari matatu katika Hospitali ya Rufaa ya Mkoa wa Shinyanga, huku akimpongeza Mhe. Rais Samia kwa kutoa fedha nyingi na kuboresha huduma za Afya hapa nchini.

Magari yaliyokabidhiwa ni la kubebea wagonjwa (Ambulance) gari la Utawala la shughuli za usimamizi shirikishi, pamoja na gari aina ya TATA kwa ajili ya kubeba Watumishi wa afya wanapokweda kutoa huduma Hospitalini na kisha kuwarudisha majumbani mwao.

Amekabidhi Magari hayo tarehe 24 Mei, 2024 katika viwanja vya Hospitali hiyo na kuhudhuliwa na wananchi, viongozi mbalimbali wa Serikali na Chama, pamoja na Wahesimiwa Madiwani.

Katambi ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu, Kazi,Vijana, Ajira na Watu wenye ulemavu, akizungumza katika hafla hiyo amempongeza Rais Samia Suluhu Hassan kwamba katika Utawala wake ndani ya kipindi kifupi, ameleta mageuzi makubwa katika Sekta ya Afya likiwamo Jimbo la Shinyanga Mjini.

“Ninafurahi kukanidhi mqgari haya leo katika Hospitali hii ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga ili kuboresha utoaji wa huduma za Afya, na kuwajali watumishi kwa kuwapatia usafiri, tunamshukuru sana Mhe Rais Samia hapa Shinyanga katika ahadi zetu kweye Sekta ya Afya tumetekeleza zaidi ya asilimia 100 na kupitiliza kabisa, amesema Mhe. Katambi.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Julius Mtatiro, amesema mambo ambayo anayafanya Katambi Jimboni kwake ni maajabu, na ni bahati ya pekee waliyonayo Wanashinyanga, kuwa na Mbunge mpenda Maendeleo na hana kelele, zaidi ya kuonyesha Vitendo.

Aidha Mstahiki Meya wa Manispaa ya Shinyanga Mhe.Elias Masumbuko,amesisitiza kwamba Magari hayo yatumike kwa malengo kusudiwa pamoja na kutunzwa ile yadumu kwa muda mrefu kutoa huduma.

Naye Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga Dr. Luzila John, akisoma risala anampongeza Mhe. Rais Samia kwa namna alivyosaidia upatikanaji wa Magari hayo pamoja na Mhe Katambi, sambamba na ufuatiliaji upatikanaji wa fedha kwa ajili ya kukamilisha miundombinu ya majengo ambayo hayajakamilika.


HABARI PICHA


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • VYAMA VYA SIASA VYATARAJIWA KUSAINI KANUNI ZA MAADILI YA UCHAGUZI

    April 12, 2025
  • MANISPAA YA SHINYANGA YASHIKA NAFASI YA PILI KITAIFA KATIKA MASHINDANO YA AFYA NA USAFI WA MAZINGIRA MWAKA 2024.

    April 08, 2025
  • KLABU YA WANDISHI WA HABARI MKOA WA SHINYANGA YAFANYA MKUTANO MKUU WA WANACHAMA WAKE

    April 05, 2025
  • WALIMU FANYENI KAZI KWA BIDII NA WELEDI KUINUA UFAULU KWA WANAFUNZI – RC MACHA

    April 04, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa