• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MHE. MNDEME AITAKA HALMASHAURI YA USHETU KUFUATA SHERIA, KANUNI, TARATIBU NA MIONGOZO YA UFUNGAJI WA HESABU ILI KUEPUKA HOJA.

Posted on: June 21st, 2023

Na. Shinyanga RS.

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina S. Mndeme ameitaka Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu kufuata na kuzingatia sheria, kanuni, taratibu na miongozo ya ufungaji wa hesabu za Serikali ili kuepuka kupata hoja ambazo zinaweza kupukika kirahisi.

Mhe. Mndeme amesema hayo katika Kikao Maalumu cha Baraza la Madiwani katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu ambayo ilikuwa na hoja 73 za Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) ikiwa hoja 30 zimeshughulikiwa na kufungwa huku hoja 43 zikiwa katika hatua mbalimbali za kutekelezwa ili zifungwe.

Kwa mujibu wa taarifa niliyosomwa na Mkurugenzi wa Halmashauri ya Ushetu Bi. Hadija M. Kabojela mbele ya mgeni rasmi na mbele ya Baraza la Madiwani na kisha kutolewa ufafanuzi wa kina na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu Mhe. Gagi Lala Gagi inaonesha wazi kabisa kuwa sasa Ushetu imebadilika na inakwenda kufanya vizuri sana baada ya kupata hati chafu jambo ambalo lilitoa matumaini makubwa sana ya kwamba suala la hati chafu kwa Ushetu sasa basi.

“Pamoja na maagizo haya niliyowapatia, lakini pia nawaelekeza baadhi ya mambo ya kutekeleza ikiwa ni pamoja na kuendelee kujibu hoja za CAG kwa kuwa hoja 43 bado ni nyingi sana kwa Halmashauri kama ya Ushetu, muendelee kufanya usuluhishi wa mahesabu pamoja na kuzingatia sheria, kanuni na taratibu za ufungaji wa vitabu vya ukaguzi na katika hili nikiwakumbusha kudai madeni yote na wao kulipa madeni wanayodaiwa,”alisema Mhe. Mndeme.

Huu ni muendelezo wa vikao maalumu vinavyoendelea kwa katika Halmashauri zote ndani ya Mkoa wa Shinyanga yenye Wilaya 3 na Halmashauri 6.

Sehemu ya Waheshimiwa Madiwani wakionekana katika picha wakati wa kikao cha baraza maalumu la CAG Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu



Picha ikimuonesha Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga (wa kwanza kushoto) akifuatilia jambo wakati wa kikao maalumu cha CAG

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa