• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MKOA WA SHINYANGA WAFANYA KIKAO CHA AWALI KUELEKEA UZINDUZI WA KAMPENI

Posted on: May 26th, 2023

Na. Shinyanga RS.

Mkoa wa Shinyanga umefanya kikao chake cha kwanza kuelekea Uzinduzi wa Kampeni ya Kitaifa ya Mama Samia ya Huduma ya Msaada wa Kisheria ( MAMA SAMIA LEGAL AID NATIONAL CAMPAIGN ) utakaofanyika tarehe 12 Juni, 2023 katika viwanja vya sabasaba Manispaa ya Shinyanga..

Akizungumza wa ufunguzi wa kikao hicha cha awali Msajili ,saidizi - Wa Watoa Huduma wa Kisheria Mkoa wa Shinyanga Ndg. Tedson Ngwale ambaye pia ni Mkuu wa Divisheni ya Maendeleo ya Jamii Mkoa wa Shinyanga aliwàambia wajumbe waliohudhuria kuwa kampeni hiyo inalenga kulinda na kukuza haki ya upatikanaji kupitia huduma za masaada wa kisheria nchini, kuimarisha upatikanaji wa haki kwa watu wasiojiweza hususani wanawake, watoto na makundi mengini yaliyo katika mazingira magumu jambo ambalo litaimarisha amani na utulivu, kuongeza kipato cha mtu mmoja mmoja na kuleta utengamano wa kitaifa.

"Ndg. Wadau wa Kampeni ya Mama Samia, nipende kuwajulisha kuwa uwepo wa Kampeni hii kutakwenda kuondoa makandokando wanayopata wananchi hasa wanawake na watoto, makundi yaliyo kwenye mazingira magumu, na wasiojiweza lakini wanahitaji kupata haki, tukifanikiwa hili hakika wananchi wote wataimarika kiuchumi, amani na utulivu utaimarika ikiwa ni pamoja na utengamano wa kitaifa pia," alisema Ngwale.

Uanzishwaji wa Kampeni hii ni utekelezaji wa Maono na azma ya Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kuimarisha mfumo wa kutatua changamoto zinazowakumba wananchi bila kusubira wananchi hao kuwasilisha changamoto zao wakati wa ziara za viongozi wa kitaifa pamoja na uwepo wa uvunjifu wa haki za binadamu sambamba na ongezeko la vitendo vya ukatili wa kijinsia hususani kwa wanawake, watoto na makundi maalum.

Kampeni hii inatarajiwa kutekelezwa kwa kipindi cha miaka mitatu (3) 2023 hadi 2026 kwa Tanzania Bara na Zanzibar  kwa kila Mkoa, Wilaya, Kata, Mitaa na Vijiji ikiwa na kauli mbiu isemayo;

 " Msaada wa Kisheria kwa Haki, Usawa, Amani, na Maendeleo".


Picha ikionesha sehemu ya wajumbe wa Kampeni wakiwa kwenye kikao cha kwanza katika Ukumbi wa Mikutano ulioo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga

Sehemu ya picha ikionesha wajumbe wakiwa kwenye kikao katika ukumbi wa mikutano uliopo Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga

Picha ya muonekano wa wajumbe wa kikao wakiendelea wakati kikao cha kwanza

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • MAISHA BAADA YA KUSTAAFU YANAHITAJI UTULIVU - DC. MTATIRO

    May 26, 2025
  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa