• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MKUTANO WA HALMASHAURI KUU YA CCM (W) YA SHINYANGA MJINI WAMPONGEZA MHE. MTATIRO

Posted on: June 20th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS

MKUTANO maalum wa Halmashauri Kuu ya Wilaya ya Shinyanga Mjini imempongeza sana Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Julius Mtatiro (Wakili) kwa uwajibikaji na utendaji kazi mzuri wa kazi katika kuitekeleza Ilani ya CCM kwa kipindi cha Januari 2024 hadi Juni, 2024 huku wakimtaka kuchukua pongezi, maoni, ushauri na mapendekezo yaliyotolewa na wajumbe kwa lengo la kwenda kuboresha utekelezaji wa Ilani ukizingatia ndiyo inayounda Serikali.

Pongezi hizi zimetolewa leo tarehe 20 Juni, 2024 na Katibu wa CCM (M) Shinyanga ndg. Oderia Batimayo wakati wa mkutano huu uliofanyika katika Ofisi ya CCM (W) ya Shinyanga ambapo pamoja na pomgezi kwa Mhe. Mtatiro lakini pia wamempongeza sana Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga ndg. Alexius Kagunze pamoja na Menejimenti kwa ujumla kwa kazi nzuri wanazozifanya ikiwa ni utekelezaji wa Ilani jambo ambalo linapelekea wananchi kuendelea kuiamini Serikali kupitia Sekta mbalimbali ambazo zinawagusa wananchi wote.

"Chama kinakupongeza sana Mkuu wa Wilaya ya Shinyanga Komredi Julius Mtatiro kwa kazi nzuri unayoifanya katika kutekeleza Ilani ya CCM hakika unafanya kazi nzuri yenye kutukuka, pia Mkurugenzi wa Manispaa ndg. Alexius Kagunze unafanya kazi njema kwa wananchi pamoja na Menejimenti yote ya Manispaa hakika ninyi ndiyo mnatufanya sisi tuendelee kuaminiwa na wananchi kupitia utekelezaji wa Sekta zenu tunawathamini sana,"amesema Oderia.

Akiwasilisha taarifa ya utekelezaji wa Ilani Mhe. Mtatiro amesema kuwa Serikali inaendelea kuboresha na kusogeza huduma zote kwa wananchi kupitia Sekta mbalimbali huku akisisitiza kuwa TARURA ilikuwa na miradi 10 wakati anafika na 4 kati ya hiyo ndiyo ilikuwa imetekelezwa na 6 ilikuwa bado. Lakini kwa kushirikiana na wataalam wameanza kuitekeleza miradi 6 na kwa sasa ipo hatua nzuri ya ukamilishaji. 

Kwa upande wa Nishati amesema kuwa TANESCO na REA wanaendelea kusambaza nishati ili kuwafikia wananchi wote pamoja na changamoto ya ucheleweshaji wa kupeleka huduma hiyo kwa wananchi huku kwa upande wa Afya akisema wameboresha zaidi.


HABARI PICHA



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa