• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MWAITEBELE AMUAPISHA KATIBU TAWALA WILAYA YA KISHAPU NA MGANGA MKUU MKOA WA SHINYANGA

Posted on: October 25th, 2023

Na. Shinyanga RS

Katibu Msaidizi Ofisi ya Rais, Sekretarieti ya Maadili ya Umma Kanda ya Magharibi Ndg. Gerald A. Mwaitebele amewaapisha kiapo cha ahadi ya uadilifu kwa uongozi wa umma Dr. Yudas Ndungile ambaye ni Katibu Tawala Msaidizi Sehemu ya Huduma za Afya, Ustawi wa Jamii na Lishe Mkoa wa Shinyanga na Bi. Fatma Mohamed ambaye ni Katibu Tawala Wilaya ya Kishapu hafla iliyoshuhudiwa na Prof. Siza D. Tumbo ambaye ni Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga.

Akizungumza leo tarehe 25 Oktoba, 2023 mara baada ya tukio hili, Mwaitebele aliwaeleza kuwa kiapo hiki walihochopata kinawataka kwenda kuwa msaada kwa wananch wanaowahudumia huku akiwakumbusha kuwa cheo ni dhamana.

Kwa upamde wake Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Prof. Siza Tumho aliwataka kwenda kutanguliza uzalendo, uadilifu na kuchapa kazi zaidi katika utumishi wao kwakuwa wameapa na kuaminiwa na Serikali.

Wakitoa neno la shukurani mara baada ya kiapo viongozi hao walisema, wamepokea nasaha, ushauri na maelekezo yote waliyopewa na kwamba wanakwenda kuyaishi katika utumishi wao ndani na nje ya ofisi zao.

Gerald Mwaitebele Katibu Msaidizi OR, Sekretarieti ya Viongozi wa Umma Kanda ya Magharibi

Katibu Tawala Mkoa wa Shinyanga Prof. Siza Tumbo

Mganga Mkuu Mkoa wa Shinyanga (kushoto) pamoja na Katibu Tawala Wilaya ya Kishapu (kulia) wakiapa

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • MAISHA BAADA YA KUSTAAFU YANAHITAJI UTULIVU - DC. MTATIRO

    May 26, 2025
  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa