• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MWAWAZA ROAD IANZE KUTENGENEZWA KWA FUNGU LA DHARULA - DC MTATIRO

Posted on: April 4th, 2024

Na. Paul Kasembo, RS SHY.

MKUU wa Wilaya ya Shinyanga Mhe. Julius Mtatiro (Wakili) amemuagiza Meneja wa Tarura Wilaya ya Shinyanga Eng. Samson Pamphir kuanza matengenezo ya barabara ya kuelekea Hospitali ya Rufaa Mkoa wa Shinyanga (Mwawaza) yenye urefu wa zaidi ya Km 4, kwa kutumia fungu la dharura ili iweze kuwaondolea adha wakazi wa maeneo hayo ikiwemo wagonjwa wanaopelekwa kwa ajili ya huduma za afya kutoka Hospitali ya Rufaa.


Maagizo haya yametolewa katika mkutano wa hadhara uliofanyika katika eneo la Soko Kuu Manispaa ya Shinyanga ambapo Mhe. Mtatiro alikuwa akipokea, kusikiliza na kutatua kero za wananchi moja kwa moja ambapo pamoja na hayo pia aliwataka wale wote wenye kero nzito na ngumu zaidi kuwa na subira wakati Kamati aliyoiunda Mhe. Mtatiro itawafikia kwa haraka na kutatua kero zao zote kabla hajaanza kwenda yeye mwenyewe eneo la tukio.


"Nakuagiza Meneja wa Tarura Wilaya ya Shinyanga uanze haraka matengenezo ya barabara kuelekea Mwawaza hata kama ni kwa fungu la dharura, haiwezekani kila ninaposimama naelezwa suala la barabara hii, sasa nasema matengenezo yaanze haraka ili kuwaondolea adha wakazi wa maeneo hayo," amesema Mhe. Mtatiro.


Kadhalika Mhe. Mtatiro alimpongeza Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mwl. Alexius Kagunze kwa utendaji kazi wake mzuri anaoendelea nao katika kuwahudumia wananchi, huku akimtaka kuendelea na kasi hiyo.


Kupokea, kusikiliza na kutatua kero za wananchi kupitia mikutano ya hadhara ni utaratibu mzuri anaoutumia Mhe. Julius Mtatiro tangu aliporipoti katika Wilaya ya Shinyanga, na unatajwa kuwaondolea kabisa kero na changamoto wanazokutana nazo wananchi.


MATUKIO KATIKA PICHA



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa