• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WA UHURU 2023 WAVUTIWA NA UJENZI WA NYUMBA YA MKURUGENZI - USHETU

Posted on: July 31st, 2023

MWENGE WA UHURU 2023 WAPOKELEWA USHETU 

Na. Shinyanga RS.

MWENGE wa Uhuru 2023 umepokelewa Halmashauri ya Ushetu amnbapo pamoja na kuiangaza Ushetu katika utekelezaji wa kuwaletea maendeleo wananchi wake yake lakini pia umeweza kuona, kuzindua na kuweka mawe ya msingi katika miradi 6 yenye thamani ya Tzs. Millioni 920, umekimbizwa kilomita 99 huku kivutio kikubwa kikiwa utekelezaji wa ujenzi wa nyumba ya Mkurugenzi iliyogharimu Tzs. Milioni 150.

Akizungumza mara baada ya ukaguzi huo Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa Ndg. Abdalla Shaib Kaim alisema kuwa Serikali ya awamu ya 6 imetoa fedha nyingi sana ili kuhakikisha kuwa wanaishi wake wanapata mazingira bora na mazuri zaidi ya kuishi na kwamba kila kukicha na kwamba Mhe. Dkt. Samia Sukuhu Hassan anapambana kutafuta fedha kwa ajili ya miradi ya maendeleo kwa wananchi wake wote,

Kando na mradi huo pia Mwenge wa Uhuru 2023 umefika katika kikundi cha wajasiliamali wanawake katika Kijiji cha Mpunze (Mpunze Industry Group)  ambao walipata mkopo kutoka mapato ya ndani 10% ya wanawake, vijana na watu wenye ulemeavu ambao wanaendesha shughuli za kukoboa na kusaga nafaka.

Kwa upande wake Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita aliwaeleza kuwa Serikali ya awamu ya sita inaendelea kuthamini na kuwajali sana wananchi wake ambapo sasa inawapelekea  miradi mbalimbali kwa lengo la kuwaondolea kero na kuwawekea mazingira kuwa bora na rafiki kwa maisha na kukuza uchumi wao.

Mwenge wa Uhuru 2023 tarehe 1 Agosti, 2023 utakuwa katika Halmashauri ya Wilaya ya Msalala ambapo ndiyo Halmashauri ya 6 na ya mwosho kwa Mkoa wa Shinyanga ambapo tarehe 2 Agosti, 2023 utakabidhiwa Mkoani Geita.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa