• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WA UHURU NDANI YA MSALALA

Posted on: August 1st, 2023

Na. Shinyanga RS.

MWENGE wa Uhuru 2023 umeingia ndani ya Halmashauri ya Msalala ambapo umepokelewa na Ndg. Katimba Khamis kutoka Halmashauri ya Ushetu ambapo utazindua, kuona na kuweka mawe ya msingi katika miradi 4 yenye thamani ya zaidi ya  Tzs. Milioni 600 na kukimbizwa jumla ya kilomita 97.8 katika Kata 7.

Akitoa taarifa ya Msalala DC mbele ya kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 MkurugenI wa Halmashauri ya Ushetu Ndg. Katimba Khamis alisema kuwa, Mwenge wa Uhuru utazindua mradi wa upanuzi wa mtandao wa maji kijiji cha MAsabi Kata ya Mega na kuona mradi wa utunzaji mazingira na upandaji wa miti katika Zahanati ya Msalala.

Miradi mingine ni uwekaji wa jiwe la msingi katika mradi wa ujenzi wa Kituo cha Afya  Kata ya Segese ambapo kuna ujenzi wa jengo la wagonjwa wa nje (OPD), jengo la maabara (Laboratory), jengo la mama na mtoto (maternity ward), kuweka jiwe la msingi katika ujenzi wa Bweni la wanafunzi wenye mahitaji maalumu Shule ya Msingi Segese na mradi wa mwisho ni kupna kikundi cha vijana (MAFUNSDI SOFA -KAKOLA) waliopata mkopo kutoka mapato ya ndani usiokuwa na riba wa 10% wanaojishughulisha na ufundi wa samani.

Hii ndiyo Halmashauri ya mwisho kuangaziwa miradi yake na mbio za Uhuru 2013 iliyopo Wilaya ya Kahama hapa Mkoani Shinyanga ambapo kesho tarehe 2 Agosti, 2023 Mwenge wa Uhuru utakabidhiwa Mkoani Geita ukitokea hapa Halmashauri ya Msalala.

Picha ikionesha kiongozi wa mbio za mwenge wa uhuru 2023 katika mojaya gati za maji - Msalala

Mmoja wa wanufaika wa mradi wa maji - Msalala akiwa amebeba ndoo kichwani kuashiria uzinduzi wa mradi wa maji



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa