• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WA UHURU WAPONGEZA UJENZI WA JENGO LA WAGONJWA WA DHARULA

Posted on: August 12th, 2024

Na. Paul Kasembo, Shinyanga DC.

MWENGE wa Uhuru ukiongozwa na  ndg. Godfrey Mnzava umepoingeza Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga kwa utekelezaji wa  Mradi wa ujenzi wa Jengo la wagonjwa wa dharura (EMD) ambalo ujenzi wake ulianza kujengwa mwaka wa fedha 2022/2023 na kukamilika mwaka 2023/2024 ulipo hapa Iselamagazi.

Hayo yamesemwa tarehe 12 Agosti, 2024 mara baada ya kukagua ujenzi huu ikiwa ni moja kati ya miradi iliyofikiwa na Mwenge wa Uhuru na kuuzindua ambapo amesema kuwa kukamilika kwa jengo hili  kutaongeza ufanisi na kuboresha utoaji wa huduma bora kwa wananchi jambo ambalo linatafsiri kwa vitendo maono ya Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

"Hongereni sana kwa utekelezaji wa mradi huu bora kabisa wenye viwango wa jengo la wagonjwa wa dharula, mradi huu unakuja kuhakikisha wananchi wa Halmashauri ya Wilaya Shinyanga wanapata huduma za dharura badala ya kusafiri umbali mrefu kufuata huduma hizi," amesema Mnzava.

Kwa mujibu wa taarifa ya Daktari Nuru Yunge ilisema kuwa, mpaka sasa mradi huu umekamilika na jengo limeanza kutoa huduma kwa wagonjwa, ambapo imeweza kuwahudumia wagonjwa 59 kuanzia tarehe 28/2/2024 kwa mchanguo ufuatao, magonjwa ya Maralia kali 25, upungufu wa damu mkali 16, Ajali za barabarani 6, Maumivu ya tumbo 4, shinikizo la damu 2, kiharusi 3, matatizo ya upumuaji 1, uvimbe kwenye kizazi 1, na kisukali 1.

Pia amesema wamefanikiwa kupokea vifaa vya jengo la dharura kutoka Serikali kuu ikiwemo mashine ndogo ya mionzi, mashine ya kufuatilia hali ya wagonjwa, mashine ya kushtua mapigo ya moyo, mashine ya kusaidia kupumua, pampu ya dripu, vitanda 6 vya umeme, vitanda mwendo 2, mashine ya mvuke, kipimo cha moyo, mashine ya kupasha joto damu na maji, vyombo 2 vya kuwekea vifaa vya huduma ya dharura, mashine 2 za kunyonya damu wakati wa upasuaji na mashine ya mawimbi sauti.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa