• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WA UHURU WARIDHISHWA NA UENDELEVU WA MRADI WA MAJI - BUGAYAMBELELE

Posted on: August 11th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY MC.

Kiongozi wa mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa ndugu Godfrey Mnzava amezindua mradi wa maji wa Bugayambelele kata ya Kizumbi unaosimamiwa na Mamlaka ya Maji Safi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA) ambao utawanufaisha wakazi wa Bugayambelele takribani 10,165.

Mradi huu wa maji umezinduliwa leo tarehe  11 08.2024 na ndugu Mnzava na kuweka jiwe la msingi huku ukigharimu shilingi milioni 150,237,279.

Mnzava ameitaka SHUWASA kuhakikisha inaendeleza mradi huu wa maji wa Bugayambelele na kuhakikisha unawafikia wakazi wengi zaidi.

“Ninawataka muongeze juhudi zaidi ili kuhakikisha mradi huu wa maji wa Bugayambelele unawafikia wakazi wengi  ili wao pia wanufaike na mradi huu” amesema Mnzava.

Mradi huu ni moja kati ya miradi 10 ambayo imetembelewa na Mwenge wa Uhuru 2024 kwenye Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga yenye thamani ya bilioni 4.2 huku ukikimbia kilomita 74.5.

Jambo kubwa lililomvutia mkimbizaji mwenge kitaifa ni uwepo wa mkakati wa kuongeza mtandao wa bomba za maji km 2.1 zaidi kutoka kwenye kituo hiki cha maji. Ongezeko hili la utoaji huduma litagharimu Tzs. Mil 40 na kwamba fedha hizo zimekwishatengwa  kwenye bajeti huku Mkurugenzi wa SHUWASA Eng. Yusuph akiahidi kuanza rasmi utekelezaji huu ifikapo Oktoba 2024.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa