• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

MWENGE WA UHURU WATOA SIKU 5 KWA UONGOZI WA SHULE YA SEKONDARI KITULI KUTOA TAARIFA

Posted on: July 29th, 2023

Na. Shinyanga RS.

Mwenge wa Uhuru 2023 umetoa siku 5 kwa uongozi wa Shule ya Sekondari Kituli iliyopo Kata ya Tinde Halmashari ya Wilaya ya Shinyanga kutoa taarifa ya urekebishaji wa kasoro zilizo jitokeza wakati wa ukaguzi ili kuona utekelezaji wa maelekezo hayo.

Maelekezo hayo yametolewa leo na Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru 2023 Ndg Abdalla Shaib Kaimu mara baada ya kukagua utekelezaji wa ujenzi wa vyumba 4 vya madarasa shuleni hapo huku akisisitiza umakini katika uketekelezaji wa miradi ukizingatia kuwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano ametoa fedha nyingi katika kuwaletea maendeleo wananchi wa Tinde.

"Niwatake uongozi wa shule  ya sekondari Kituli  kutoa taarifa ya utekelezaji wa maelekezo tuliyotoa kwenu ili kuona jinsi mlivyotekeleza," alisema Ndg. Kaim.


Pamoja na kazi mbalimbali zilizofanywa na Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri ya Shinyanga ikiwemo kuzindua, kukagu, kuweka jiwe la msingi pamoja kupanda miti  lakini pia umeshiriki kukabidhi vyandarua kwa mama wajawazito, watoto chini ya umri wa miaka 5, wazee katika Kituo cha Afya Tinde pamoja na kuzindua rasmi gari la kubebea wagonjwa la Zahanati ya Mwakitolyo lililotolewa na Wachimbaji Wanawake Wadogowadodo Mwakitolyo Namba 5.

Mwenge wa Uhuru katika Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga imeangazia miradi 9 ikiwa ni zaidi ya thamani ya Tzs. Bilioni 5.3 na kukimbizwa Kilomita 94.22 ambapo kwa ujumla wake Mwenge umepitisha miradi yote na hakuna uliokataliwa huku akiwapongeza viongozi wote kuanzia Mkuu wa WilayaMhe. Johari Samizi, Mkurugenzi wa Halmashauri Ndg. Simon Berege na watumishi wote kwa kazi nzuri wanazozifanya katika kuwahudumia wananchi na kuwaletea maendeleo wana Shinyanga DC.

Tarehe 30 Julai, 2023 Mwenge wa Uhuru utakuwa Wilayani Kahama ambapo utakagua, kuzindua  na kuona jumla ya miradi 6 yenye thamani ya 3, 697, 546, 277, 80.
@ortamisemi
@christinamndeme18
@shinyangadc_official
@shinyanga_tanzania

Moja kati ya jengo la vyumba vya madarasa katika Sule ya Sekondari Kituli

Upandaji miti ulifanyika pia enro hilo la shule ya Sekondari Kituli

Gari ya kubebea wagonjwa (Ambulance) iliyotolewa na wanawake wachimbaji wa madini Mwak8tolyo namba 5

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa