Paul Kasembo, SHY DC.
MKURUGENZI wa Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga Mwl. Alexius Kagunze leo tarehe 12 Agosti, 2024 amekabidhi Mwenge wa Uhuru 2024 kwa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga Dkt. Kalekwa Kasanga ambapo utakimbizwa KM 160, kuifikia miradi 14 yenye zaidi ya thamani ya Tzs. Bilioni 1.7
OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA
Anuani: P.O.Box 37180,SHINYANGA, TANZANIA
Simu: +255 28 2762222
Simu ya Mkononi:
Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz
Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa