• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

NAWATAKIA KILA LA KHERI - RC MACHA

Posted on: June 4th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amewatakia Kila lenye Kheri Timu ya Mashindano ya Umoja wa Michezo na Taaluma kwa wanafunzi wa Shule za Msingi Tanzania (UMITASHUMTA) mbao wamechaguliwa kwenda kuwa kuwakilisha Kitaifa mkoani Tabora huku akiwatia moyo na kuwataka karudi na ushindi kwa kushika nafasi ya kwanza.

RC Macha amesema hayo Juni 4, 2024 wakati akifunga Kambi hii ambayo hafla iliyofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu Shinyanga na kuhudhuriwa  na Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Bi. Dafroza Ndalichako pamoja na walimu wa michezo ambapo pamoja na maelekezo mengine amewaahidi wanamichezo hawa kwamba kila timu itakayorudi na Medali itakutana zawadi yake.

Kando na hayo RC Macha ametoa wito kwa Wakurugenzi wa Halmashauri zote za Mkoa wa Shinyanga kuhakikisha kuwa kila shule inatenga maeneo ya michezo na kuwawezesha na kuwajengea uwezo wanafunzi wa michezo ili kuwa na vijana wenye uwezo wakati wowote wanapohitajika.

"Nimekuja kuwatia moyo, kuwatakia kila lenye kheri na kuwaombea kwa Mwenyezi Mungu katika ushiriki wenu kwenye UMITASHUMTA Taifa katika Mkoa wa Tabora, nami nawaahidi kwamba kila timu itakayorudi na Medali itakutana na zawaidi nono kutoka kwangu," amesema RC Macha.

Kwa upande wake Bi. Ndalichako amesema kuwa Mashindano ya UMITASHUMTA mwaka 2023 Shinyanga ilishika nafasi ya tatu Kitaifa, kutokana na maandalizi mazuri yaliyofanywa wanao uhakika kuwa watarudi na ushindi kwa kushika nafasi ya kwanza.

Afisa Elimu Mkoa wa Shinyanga Dafroza Ndalichako, akisoma taarifa kwa Mkuu wa Mkoa, ametaja idadi ya wanafunzi ambao wamechaguliwa kuwakilisha UMITASHUMTA Kitaifa Mkoani Tabora kuwa wapo 120 Walimu wa Michezo 15, Mratibu wa Michezo 1 na Daktari 1.

Mashindano haya yamebebwa na Kauli Mbiu “Miaka 50 ya UMITASHUMTA tunajivunia Mafanikio katika Sekta ya Elimu,Michezo na Sanaa, Hima Tanzania shiriki uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024”.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa