• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

NI WAKATI WA KUTOKOMEZA KABISA UKATILI WA KIJINSIA NA UNYANYASAJI - RC MACHA

Posted on: March 2nd, 2025

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amesema kuwa wakati umefika sasa wa kutokomeza na kuachana kabisa na masuala yote yanayohusu Ukatili wa Kijinsia na Unyanyasaji kwa ujumla huku akisisitiza kuwa uwepo wao viongozi hapo kwenye Kongamano hilo ni sehemu ya muendelezo wa kupaza sauti na kutambuliwa kuwa binadamu wote ni sawa.

RC Macha ameyasema hayo wakati akitoa salamu za Mkoa katika Kongamano la Shujaa wa Maendeleo na Ustawi wa Jamii Tanzania (SMAUJATA) ambalo mgeni rasmi alikuwa Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake, Wazee, na Watoto wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Riziki Pembe Juma ikiwa ni sehemu ya Maadhimisho ya Siku ya Wanawake na Wanawake Wenye Ulemavu yaliyofanyika kwenye ukumbi wa Lyakale Hotel iliyopo Manispaa ya Shinyanga.

"Ni wakati sasa umefika kwa sisi sote kuamua kutokomeza kabisa ukatili wa kijinsia na unyanyasaji kwa ujumla kayika Mkoa wetu huu wa Shinyanga, na kwamba uwepo wetu sote hapa ni sehemu ya muendelezo wa kupaza sauti na kutambuliwa kuwa sisi sote binadamu ni sawa," alisema RC Macha.

Katika hotuba yake Mhe. Riziki alisema kuwa kwa muda mrefu jinsi ya Kike ilikuwa kama imeachwa nyuma sana na hivyo ni wakati sahihi sasa kuongeza nguvu katika kumtambua, kumthamini na kumpa nafasi kwani anaweza na kwamba harakati hizi zilianza miaka 30 iliyopita huko Beijin na sasa tunaona matunda yake na mfano hai tulionao tena wa kuigwa na Mataifa ni kupitia kiongozi wetu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan ambaye amedhihirisha kwa vitendo kuwa ni kinara namba moja ndani na nje ya nchi katika nyanja mbalimbali.

Mhe. Riziki ameongeza msisitizo wake kwa wazazi na walezi kuwa, watoto wetu wasaidiwe ili wawezetimiza ndoto zao kwanii Serikali kwa upande wake imeishafanya ikiwemo kujenga mindomhinu ya shule, hosp, vituo vya afya, maji, umeme, uwezeshaji wananchi kiuchumi, kuwatua ndoo na kuni akinamama kichwani imefanya haya yote ili mtoto atimize ndoto yake na kumsaidi pia mama.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa