• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

PROF SIZA TUMBO AWATAKA WATUMISHI KUBADILIKA

Posted on: January 4th, 2024

KATIBU Tawala Mkoa wa Shinyanga Prof. Siza D. Tumbo amewataka watumishi mkoani shinyanga kubadilika kifikra, kuongeza ufanisi wa kazi zao pamoja na kuhudumia wananchi vema na lunga nzuri katika ofisi zao.

Prof. Tumbo ameyasema haya alipokuwa akizungumza na watumishi waliopo ofisi ya mkuu wa mkoa wa shinyanga kwa lengo la kupokea, kusikiliza na kutatua changamoto zote wanazokabiliana nazo katika maeneo yao ya kazi pamoja na kukumbushana wajibu na majukumu yankila mmoja.

"Huu ni mwaka mpya wa 2024, ninawaelekeza nyote mbadilike kifikra, ongezeni ufanisi wa kazi, wahudumieni wananchi kwa wema kabisa, tumieni lugha nzuri na mtende haki, kwa kufanya hivi tutakuwa tumetekeleza Ilani ya Chama Cha Mapinduzi vema kwa wanashinyanga", alisema Prof. Siza Tumbo.

Huu ni muendelezo wa utaratibu wake wa kawaida Prof. Tumbo wa kukutana na watumishi kwa lengo la kupokea, kusikiliza na kutatua changamoto zpte wanazokutana nazo katika maeneo yao ya kazi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • WATUMISHI MKOANI SHINYANGA WEKENI UMUHIMU KWENYE BIMA - DC. MTATIRO

    February 24, 2025
  • RC MACHA AKUTANA NA WAJUMBE WA BODI YA JTI WAKIONGOZWA NA MWENYEKITI WAKE BI. ANNE MAKINDA,

    February 21, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa