• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN ATOA MKONO WA EID AL - FITR KWA MAKAO YA WATOTO WILAYANI KAHAMA NA KISHAPU.

Posted on: March 30th, 2025

Na. P. Kasembo, KAHAMA MC.

RAIS wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amemalizia kutoa mkono wa Eid Al - Fitr kwa Makao ya Watoto Yatima katika Halmashauri ya Manispaa ya Kahama na Kishapu ikiwa ni sehemu ya kusherehekea Sikukuu hii pamoja nao kupitia zawadi hizo ikiwa ni muendelezo ulioanza Machi 30, 2025 ambapo alikabidhi kwa Makao na Makazi yaliyopo Shinyanga Manispaa.

Akizungumza wakati wa kukabidhi zawadi hizo, RC Macha alisema kuwa wao kama wasaidizi wa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan wameagizwa kupeleka zawadi hizo kwa watoto hao ili kuwashika mkono katika kusherehekea Sikukuu hii na kwamba anatambua uwepo, anathamni, anaheshimu na anawajali sana wao kama sehemu ya jamii na kwamba wao pia kama walivyo watoto wengine wanazo haki na stahiki sawa sawa.

"Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametuagiza tuje kuwaletea zawadi hizi ikiwa ni sehemu ya kusherehekea Sikukuu hii ya Eid Al - Fitr pamoja naye ambapo ametupatia vitu mbalimbali ikiwemo Mchele, Mafuta ya Kupikia, mboga (mbuzi), Sharubati (juice), maji, sabuni na maziwa kwa watoto wachanga hivi vyote ametoa tuwaletee na ametoa salamu zake kwenu kuwa anawapenda sana," alisema RC Macha.

Awali akitoa salamu za utangulizi kwa watoto hao katika nyakati tofauti, Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita @mboni_mhita aliwaeleza watoto hao kuwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ni Kiongozi wa Nchi na Mama wa Watoto wote na ndiyo sababu leo tumekuja na Mhe. RC Macha kuwaletea zawadi hizi maalum kwa siku ya leo na kila mtoto atafurahia naye kwa kuwa kwake watoto wote ni sawa.

Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ametoa zawadi mbalimbali kwa Makao ya Shinyanga Society for Orphanage Centre yaliypo Manispaa ya Shinyanga, Mwadui Home of Vulnerable - Kishapy DC, ZaQahana Orphanage Centre - Kahama MC, Muvuma Children Home - Kahama MC, New Hope Orphanage Centre - Kahama MC, Kahama Peace Orphanage Centre - Kahama MC na Makazi ya Wazee na Wenye Mahitaji Maalum Kolandoto yaliyopo Manispaa ya Shinyanga.

Picha ikimuonesha Mheshimiwa Mboni Mhita, Mkuu wa Wilaya ya Kahama

Sehemu ya muonekano wa watoto wakifurahia zawadi

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • MAISHA BAADA YA KUSTAAFU YANAHITAJI UTULIVU - DC. MTATIRO

    May 26, 2025
  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa