• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RAS HAMDUNI APOKEA WATAALAMU WA AFYA KUTOKA MKOA WA IRINGA WALIOFIKA KUJIFUNZA SHINYANGA.

Posted on: October 6th, 2025

Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, CP. Salum Hamduni, leo Octoba 6,2025 amepokea rasmi ujumbe wa wataalamu wa afya 25 kutoka Mkoa wa Iringa waliowasili kwa ziara ya mafunzo ya siku mbili, yenye lengo la kujifunza masuala ya usafi wa mazingira, udhibiti wa taka ngumu na usimamizi wa sheria kwenye huduma za afya.

Ujumbe huo unaojumuisha Mganga Mkuu wa Mkoa wa Iringa, waganga wakuu wa wilaya, pamoja na maafisa afya na mazingira, uko mkoani Shinyanga kwa lengo la kubadilishana uzoefu na kujifunza mbinu bora zinazotekelezwa na Mkoa wa Shinyanga katika kuhakikisha mazingira safi, salama na rafiki kwa afya ya binadamu.

Kwa upande wake, Mratibu wa ziara hiyo, Bi. Khadija Haruna, amesema wamevutiwa na mafanikio ya Mkoa wa Shinyanga katika maeneo ya udhibiti wa taka ngumu, usimamizi wa majitaka, ukusanyaji wa mapato kwenye huduma za afya mazingira, pamoja na utekelezaji wa sheria na taratibu zinazolenga kulinda afya ya jamii.

“Shinyanga imekuwa mfano wa kuigwa kwa namna inavyosimamia usafi wa mazingira, hasa kwenye masuala ya taka zinazotokana na huduma za afya. Tumekuja kujifunza ili kwenda kuboresha mifumo yetu Iringa,” amesema Bi. Khadija.

Katika salamu zake za ukaribisho, RAS Hamduni amewapongeza wataalamu hao kwa kuchagua Shinyanga kuwa sehemu ya kujifunzia, na kuahidi kutoa ushirikiano wote kwa kipindi chote watakachokuwa mkoani humo.

Amesisitiza kuwa mkoa unaendelea kuwekeza katika afya ya mazingira kwa kuhakikisha sheria zinasimamiwa kikamilifu na utoaji wa elimu kwa jamii unaimarishwa.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa