• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC aagiza kusimamishwa kazi Afisa Manunuzi kwa kusababisha hasara ya mil. 3

Posted on: October 21st, 2018

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amemtaka Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Bw. Geofrey Mwangulumbi kumsimamisha kazi Afisa manunuzi wa Manispaa hiyo Bw. Mwita Peter Nyang’anyi ili kupisha uchunguzi kutokana na kutosimamia utaratibu wa kununua mbao kwa ajili ya ujenzi wa kituo cha Afya Kambarage hivyo kuisababishia Serikali hasara ya shilingi milioni 3.

Mhe. Telack ameitaka pia taasisi ya kupambana na kuzuia Rushwa, TAKUKURU Mkoa wa Shinyanga, kuwafanyia uchunguzi ndani ya siku 3, Mhandisi wa ujenzi Bw. Deogratius Mworo na Afisa manunuzi huyo ili kubaini sababu ya iliyofanya kurudisha mbao zilizonunuliwa kwa madai kuwa mbao hizo siyo imara na kisha kuagiza mbao nyingine hivyo kuongezeka kiasi hicho cha fedha kinyume na bajeti iliyokuwa imepangwa.

Telack ametoa agizo hilo mwishoni mwa wiki baada ya kufanya ziara katika kituo hicho kwa lengo la kukagua na kuona hatua ya ujenzi na upanuzi wa kituo baada ya kikao cha pamoja na kamati za ujenzi, manunuzi na mapokezi katika ujenzi huo.

Akizungumza na viongozi na watendaji wa Manispaa hiyo Mhe. Telack amewataka kupokea vifaa hasa mbao na mabati vikiwa na vipimo kutoka shirika la viwango “TBS” na pia kamati za mapokezi zisipokee vifaa visivyokuwa na ubora.

Amesema fedha inayotolewa na Serikali kwa ajili ya ujenzi wa vituo ni ya moto hivyo watendaji wasifikiri wataweza kuitumia kwa maslahi yao binafsi.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa