• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MACHA AKUTANA NA VIONGOZI WA CHAMA CHA VIZIWI TANZANIA (CHAVITA) TAIFA

Posted on: September 24th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amekutana na viongozi wa Chama cha Viziwi Tanzania waliofika kwa lengo la kujitambulisha kwake pamoja na kuelezea dhumuni la uwepo wa maadhimisho ya Wiki ya Viziwi Duniani ambayo Kitaifa yanafanyika hapa mkoani Shinyanga kuanzia tarehe 23 - 28 Septemba, 2024.

Akitoa taarifa fupi ya maadhimisho haya, Mwenyekiti wa CHAVITA Bi. Celina Mlamba ameanza kwa kumshukuru na kumpongeza Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa kuendelea kuwajali CHAVITA ambapo wanaendelea kupata nafasi mbalimbali katika utumishi wa umma, elimu afya nk. huku wakishukuru pia RC Macha kwa namna ambavyo anashirikiana na CHAVITA Shinyanga na Taifa na kwamba kufanyika kwa tukio hili hapa Shinyanga ni kilelezo kuwa wanatambua na kuthamini msaada mkubwa wanaoupata kwa Serikali ya Mkoa na Taifa pia na kwamba sasa unaiweka Shinyanga kwenye ramani ya Mikoa inayoijali na kuiunga mkona zaidi CHAVITA.

Haya yametokea leo tarehe 24 Septemba, 2024 ikiwa ni siku moja kuelekea ufunguzi rasmi wa Wiki ya Viziwi Duniani katika hafla itakayofanyika kwenye ukumbi wa mikutano uliopo jengo la CCM Mkoa wa Shinyanga ambapo wito umeendelea kutolewa kwa wadau kushiriki kikamilifu.

Kwa upande wake Mwakilishi UNDP Tanzania Bi.Ghati Horombe amesema kuwa UNDP itaendelea kushirikiana na asasi za watu wenye ulemavu kwani wanthamini na wataendelea kushirikiana ili kuhakikisha malengo ya kundi hili yanafikiwa vema ikiwa ni pamoja na kutoa mafunzo ya uchumi wa kidijitali kwa vijana 150 kutoka katika kundi hili.

Akihitimisha mazungumzo haya RC Macha amewakaribisha sana mkoani Shinyanga wageni wote na kwamba Serikali inatambua na kuthamini sana mchango wa kundi hili na kwamba wataendelea kushirikiana nao wakati wote, na kwamba maadhimisho haya yatafana zaidi kwakuwa maandalizi yote yamekamilika tayari. Kauli mbiu ya mwaka 2024 inasema "Ungana Kutetea Haki za Lugha ya Alama"

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa