• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MACHA ALIPONGEZA KANISA LA WASABATO - SHINYANGA

Posted on: April 24th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amelipongeza Kanisa la Waadventista Wasabato Jimbo la Ukanda wa Dhahabu (NGBF) ambalo linaendesha Semina ya Familia, Malezi, Biashara na Huduma za Afya hapa Shinyanaga na kuwataka waumini wote kuendelea kumuombea kwa Mungu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ili aendelee kuwatumikia wananchi wote na kuwaletea maendeleo.

Haya yamesemwa katika Ufunguzi wa Semina hii ambayo inajumuisha waumini wa Kisabato na wasiokuwa wasabato kwa lengo kupata jamii iliyo bora zaidi yenye upendo wa dhati kuanzia familia, yenye malezi yasiyokiuka mmomonyoko wa maadili, yenye kujenga jamii ambayo itakuwa na taaluma ya ujasiliamali na kuzingatia afya bora.

"Kwa dhati ya moyo wangu, nimefurahishwa na maandalizi ya semina hii pamoja na dhamira yake, kwakuwa Taasisi za zinao uwezo mkubwa zaidi wa kuijenga jamii yenye malezi na makuzi mema katika familia zinazofuata na kuzingatia afya bora na hivyo ninyi Waadventista Wasabato Shinyanga ni mfano wa kuigwa katika hili, nawapongeza sana," amesema RC Macha.

Serikali inailea na kuitunza jamii hasa vijana kwa kuwawezesha katika Sekta ya Elimu, Uchumi, Amani nk ambapo nanyi Taasisi za Dini mnawawezesha kiroho na katika mafundiaho ya Mwenyezi Mungu ili waishi kwa kwa kumpendeza Mungu na watende haki katika jamii wanazoishi nazo.

Kwa upande wake Askofu wa Jimbo la Ukanda wa Dhahabu alimshukuru sana RC Macha kwa kuridhia kuja kufungua Semina hii muhimu kwa muktadha wa vijana na wanajamii wote wa Ukanda wa Dhahabu, akamuahidi kwa yote aliyoyasema wameyapokea na mwisho akamuomba aridhie tena kuja kufunga Semina hii tarehe 27 Aprili, 2024.


HABARI PICHA



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa