• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MHITA ASHIRIKI CHAKULA CHA PAMOJA NA TIMU YA RS SHINYANGA SPORT CLUB BAADA YA KUSHINDA VIKOMBE VIWILI MASHINDANO YA SHIMIWI.

Posted on: September 18th, 2025

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mboni Mhita usiku wa kuamkia Septemba 18,2025  aliungana na wachezaji wa RS Shinyanga Sport Club kwa chakula cha pamoja mara baada ya kuwapokea na kupokea rasmi vikombe viwili walivyovishinda katika mashindano ya 39 ya SHIMIWI yaliyofanyika Jijini Mwanza.

Tukio hilo lilifanyika mara baada ya hafla fupi ya mapokezi ya vikombe hivyo katika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa ambapo Mhe. Mhita amewapongeza wanamichezo hao kwa kuonyesha uzalendo, mshikamano na nidhamu katika kuiwakilisha vyema Shinyanga.

Akizungumza wakati wa chakula hicho, Mhe. Mhita ameahidi kuwa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa itaendelea kutoa ushirikiano na sapoti ya kila mwaka kwa timu hiyo ili kuhakikisha wanafikia malengo makubwa zaidi, ikiwemo kutwaa ushindi wa jumla katika mashindano yajayo ya SHIMIWI.

“Nimefarijika sana kuona Shinyanga inarejea na vikombe. Hii ni ishara kuwa tunakwenda mbele na tukijipanga vizuri zaidi, naamini tutakuwa mabingwa wa jumla katika miaka ijayo. Ofisi yangu itaendelea kuwa bega kwa bega nanyi,” amesema Mh. Mhita.

Kwa upande wake Katibu Tawala wa Mkoa wa Shinyanga, CP Salum Hamduni, ameipongeza timu kwa kujitoa kwa hali na mali kuiwakilisha Shinyanga, na kusema ameridhishwa na nidhamu, ushirikiano na ari waliyoionesha wanamichezo hao katika mashindano hayo ya kitaifa.
Timu ya RS Shinyanga Sport Club imeshinda kikombe cha ubingwa wa kitaifa kwa upande wa mchezo wa karata (wanaume) na kikombe cha mshindi wa tatu kwa upande wa wanawake katika mchezo huo huo.










Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA

    November 13, 2025
  • RC MHITA AKUTANA NA MSANII BANDO MC, APONGEZA JUHUDI ZA KUSAIDIA VIJANA SHINYANGA

    November 11, 2025
  • RC MHITA APONGEZA UONGOZI MPYA WA KANISA LA WASABATO NGBF MKOANI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • WANAFUNZI 29,193 KUFANYA MTIHANI WA UPIMAJI KIDATO CHA PILI SHINYANGA.

    November 07, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AWAHAMASISHA WAFANYABIASHARA NA WAWEKEZAJI KUCHANGAMKIA FURSA ZA KIUCHUMI MKOANI SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 320, 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa