• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME AAGIZA KUKAMILISHWA HARAKA KWA UJENZI WA SHULE MPYA YA NYAHANGA SEKONDARI

Posted on: September 20th, 2023

Na. Shinyanga RC

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme leo tarehe 20 ametembelea, kukagua na kuagiza kukamilishwa haraka kwa ujenzi wa Sekondari mpya ya Nyahanga iliyopo Kahama Manispaa ambayo itagharimu zaidi Mil. 603 jamno ambalo litakwenda kuwaondolea usumbufu wanagunzi waliokuwa wakifuata elimu mbali zaidi.

Pamoja na pongezi kwa Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mhoni Mhita @mboni_mhita kwa kazi nzuri anayoifanya ya usimamizi na ufuatiliaji wa miradi, lakijni pia amemuagiza ahakikishe kuwa maelekezo aliyoyayoa yanatekelezwa huku akiwataka kujenga Tangi la maji kwa ajili ya kuhifadhia maji wakati wakisubiria Mamlaka ya MajiSafi na Usafi wa Mazingira Kahama - KUWASA kuwasogezea huduma ya maji shuleni hapo jambo ambalo litapunguza adha inayotokea hivi sasa ya upatikanaji wa maji.

"Nakuagiza Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni kuhakikisha ujenzi wa shjle hii mpya ya Nyahanga inakamilika haraka kwa ubora, viwango kwa kuzingatia muda mliokubaliana na kwa bajeti ileile," alisema Mhe. Mndeme.

Kando na agizo hiko, lakini pia Mhe. Mndeme amewataka mafundi wanaofanya kazi ya ujenzi shuleni hapo kutanguliza  uzalendo wakati wa utendaji kazi wao ili thamani ya majengo hayo ionekane kwa wananchi, wazingatie muda na bajeti waliyokubaliana kwakuwa wao pia ni sehemu ya jamii.

Hii ni ziara ya mwisho kwa Wikaya ya Kahama akiwa ameongoza na mwenyeji wake Mkuu wa Wilaya ya Kahama Mhe. Mboni Mhita, Kamati ya za Usalama, uongozi wa CCM Kahama wataalam kutoka Ofisi ya Mkuu wa Mkoa na Halmashauri pamoja na wakuu wa Taasisi mbalimbali ikiwamo Tarura, Tanesco, Kuwasa, Vyama vya Ushirika nk.

Ziara ambayo imemuisha Halmashauri 3 ikiwemo Kahama Manispaa, Ushetu na Msalala ambapo pamoja na mambo mengine lakini pia alikagua miradi mbalimbali ya elimu na afya na miundombinu,  kuiwekea mawe ya msingi, kusikiliza na kutatua kero za wananchi wa maeneo hayo.


PICHA NA MATUKIO YAKIONESHA MHE. MNDEME AKIWA SHULE MPYA YA NYAHANGA - KAHAMA

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa