Kiswahili
  • English
  • Kiswahili
    • Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME AKABIDHI MAJIKO YA GESI 600 YALIYOTOLEWA NA MHE. PATROBAS KATAMBI MBUNGE WA JIMBO LA SHINYANGA MJINI

Posted on: July 21st, 2023

Na. Shinyanga RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Cnristina Mndeme amekabidhi Majiko ya gesi 600 yaliyotolewa na Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobas Katambi ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira na watu wenye ulemavu) kutoka Kata zote 17 za Shinyanga Mjini huku akimpongeza sana kwa msaada huo na kuwajali wajasiliamali hao.

Hafla hii fupi imefanyika katika ukumbi wa mikutano uliopo jengo la makao makuu ya Chama Cha Mapinduzi Mkoa wa Shinyanga na kudhuriwa na viongozi mbalimbali wa Chama, Serikali na Dini.

Mhe. Mndeme amesema kwamba kitendo cha Mhe. Katambi kujitoa na kuwaletea majiko ya gesi wajaliamali hao ni cha kuigwa chenye lengo la kuboresha kazi zao, kutunza mazingira kwa kuachana na matumizi ya nishati ya kuni au mkaa na kuanza kutumia nishati ya gesi ambayo inatajwa kwenda kurahisisha maisha ya wana Shinyanga Mjini.

"Ndugu zangu wana Shinyanga, kwa pamoja tuna kila sababu ya kumshukuru na kumpongeza sana Mhe. Katambi kwa msaada huu aliotuletea wajasiliamali wa Jimbo la Shinyanga kwa kweli twendeni tukabadilishe mfumo wa matumizi ya nishati ya kuni na mkaa na sasa tuendelee na nishati ya gesi ili tuweze kutunza mazingira na maisha yetu yabadilike na kuwa ya kisasa," alisema Mhe. Mndeme.

Kwa upande wake Mhe. Katambi alisema kwamba, anawiwa kutoa majiko ya gesi hayo yenye thamani zaidi ya Milioni 500 kwa wajasiliamali hao kutoka kata zote za jimbo ili kuweza kuleta chachu ya uchumi, kutunza mazingira na kuachana na nishati ya kuni au mkaa ambayo yaweza kuleta madhara.

Kukabidhiwa huku kwa mitungi ya gesi 600 kwa wajasiliamali hawa inakwenda kuimarisha na kuboresha kazi zao katika kada mbalimbali ikiwamo mama lishe, baba lishe, wauza kahawa pamoja na makundi maalumu na wanachi mbalimbali waliobahatika katika Jimbo la Shinyanga

Mhe. Patrobas Katambi akielezea jambo wakati wa hagla ya uyoaji majiko ya gesi 600 kwa wajasiliamali

Picha ikionesha sehemu ya mitungi ya gesi 600

Mmoja wa wanufaika wa majiko ya gesi yaliyotolewa na Mhe. Katambi

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • MAISHA BAADA YA KUSTAAFU YANAHITAJI UTULIVU - DC. MTATIRO

    May 26, 2025
  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa