• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME ASHIRIKI SHEREHE NA MAADHIMISHO YA UPADIRISHO WA SHEMASI JAMES FURAHA MREMA.

Posted on: July 6th, 2023

RC MNDEME ASHIRIKI SHEREHE NA MAADHIMISHO YA UPADIRISHO WA SHEMASI JAMES FURAHA MREMA.

Na. Shinyanga RS.

Mkuu wa Moa wa Shinyanga Mhe. Christina Solomon Mndeme leo tarehe 6 Julai, 2023 ameshiriki katika maadhimisho ya upadirisho wa Shemasi James Mrema sherehe zilizofanyika katika Parokia ya Msalaba Mtakatifu - Mwadui hapa Mkoani Shinyanga.

Katika sherehe hizi ambazo zimeongozwa na Mhashamu Askofu Liberatus Sangu wa Jimbo kuu Katoriki, Mkuu wa Wilaya ya Kishapu Mhe. Joseph Mkude na viongozi mbalimbali.

Mhe. Mndeme amesema kuwa Serikali inatambua, inathamini na kuheshimu michango yote inayotolewa na Taasisi za Dinini kiwamo Kanisa Katoriki hasa katika nyanja za Sekta ya Elimu, Afya, Ustawi wa Jamii nk huku akiahidi kuwapatia ushirikiano mkubwa Taasisi zote za Dini.

"Serikali yetu ya awamu ya sita inatambua, inathamini na kuheshimu michango yote itolewayo na Taasisi zote za Dini ikiwamo Kanisa Katoriki katika sekta ya elimu, afya, ustawi wa jamii nk," alisema Mhe. Mndeme.

Aidha Mhe. Mndeme amezitaka Jumuiya za Wanawake Wakatoriki Tanzania kuendelea kutoa malezi na kuimarisha makuzi ya watoto ili wasipotoke na kuiga tamaduni zisizofuata utu, utamaduni na mila za kitanzania.

Na kwamba Serikali ya awamu ya sita itaendelea kushirikiana na taasisi hizi katika kuwaletea maendeleo wananchi wake, ukizingatia kuwa Taasisi na Serikali zinamhudumia mtu huyo huyo mmoja isipokuwa majuku ndiyo yanatofautiana.

Kando na hayo Mhe. Mndeme pia alitumia fursa hiyo kuwaomba viongozi wote wa dini kuendelea kumuombea heri, afya na maisha marefu Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya muungano wa Tanzani pamoja na wasaidizi wake katika kuwahudumia wananchi wa Tanzania huku akimuombea Padre James Mrema heri katika utumishi wake.

Wito umetolewa katika maadhimisho haya kuendelea kumuombea sana Padre James katika miito mitakatifu ili watenda kazi katika shamba la Bwana waongezeke zaidi, " Mavuno ni mengi, lakini watendakazi ni wachache. Basi mwombeni Bwana wa Mavuno, apeleke watendakazi katila mavuno yake". ( Mathayo 9:37 - 38)

Picha ikimuonesha MHE. Christina Mndeme akisalimiana na Baba Mshashamu Sangu baada ya sherehe za upadirisho

 

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa