• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME AUKARIBISHA UONGOZI MPYA WA NMB KANDA YA MAGHARIBI MKOANI SHINYANGA

Posted on: August 7th, 2023

Na. Shinyanga RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina S. Mndeme ameukaribisha kwa mikono miwili Uongozi wa Benki ya NMB Kanda ya Magharibi ambao walikuja Ofisini kwake kwa lengo la  kujitambulisha huku akiwataka akiwashukuru sana kwa msaada wa Vifaa Tiba walivyotoa katika Hospitali ya Wilaya ya Shinyanga.

Hayo yametokea leo tarehe 7 Agosti, 2023 ambapo Ndg. Seka Urio ambaye ni Meneja mpya wa NMB Kanda ya Magharibi alipofika Ofisini akiwa ameongoza na Ndg. Gadiel Sawe Meneja NMB Manonga Shinyanga, Bi. Vivian Nkhancaa ambaye ni Meneja Uhusiano Biashara na Huduma za Serikali Kanda ya Magharibi pamoja na  Ndg. Emmanuel Makanga ambaye ni Meneja Uhusiano.

Mhe. Mndeme amewapongeza na kuwashukuru sana NMB Kanda ya Magharibi kwa msaada huo walio utoa kwa Serikali katika Sekta ya Afya na hasa kuichagua Hospitali ya Wilaya ya Shinyanga jambo ambalo linakwenda kuborsha zaidi utoaji wa huduma bora kwa wananchi wa Shinyanga na maeneo jirani.

"Kwa dhati kabisa nawapongeza na kuwashukuru sana NMB Kanda ya Magharibi kwa msaada wenu wa kuboresha Sekta ya Afya katika Hospitali ya Wilaya ya Shinyanga, mgeweza kuamua kuzitumia vinginevyo fedha hizo ukizingatia kuwa ninyi mnafanya biashara lakini mkaamua kuisapoti Serikali hakika umetenda jambo la kukumbukwa sana kwa wana Shinyanga na Serikali kwa ujumla wake tunawapongeza sana," alisema Mhe. Mndeme.

Kando na hayo, Mhe. Mndeme ametaka NMB kuangalia upya namna ya kuwawezesha vijana kwa masharti nafuu, hasa kwa kuwapatia vitendea kazi kama vile Mashine kubwa za kukoboa na kuchakata kwa lengo la kuongezea thamani mazao katika Mkoa wa Shinyanga.

Mhe. Mndeme pia amewataka NMB kujipanga kimkakati wakati ambapo Serikali inakwenda kutekeleza mredi wa kulifanya eneo lililokuwa na Buzwagi Wilayani Kahama kuwa Kanda ya Kiuchumi ili na wao NMB wawe tayari kuwekeza katika eneo hilo ambalo linatarajiwa kuwa kivutio kikubwa cha uwekezaji.

Kwa upande wake Meneja wa Kanda Ndg. Seka Urio alimshukuru sana Mhe. Mndeme kwa ukarimu wake, kwa kuwa tayari pia kuwapokea, alimpongeza sana kwa namna ambavyo anachapa kazi zake za kuwahudumia wananchi wa Mkoa wa Shinyanga huku akimuahidi kuwa maelekezo na ushauri wote alioutoa kwao wameuchukua na wataufanyia kazi kwa vitendo.

Mhe. Mndeme kwa niaba ya Serikali amekuwa na ushirikiano mzuri sana jambo ambalo linapelekea kuwa bega kwa bega kufanya kazi na Taasisi, Mashirika, Wadau na wananchi wote katika kuhakikisha kuwa wanawaletea maendeleo wananchi wa Mkoa wa Shinyanga.

Picha ikionesha viongozi wa NMB Kanda ya Magharibi wakiwa ofisini kwa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Mndeme

Baadhi ya vifaa tiba walivyokabidhi katika Hospitali ya Wilaya ya Shinyanga


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa