• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME AWATAKA WAHANDISI WA HALMASHAURI ZA SHINYANGA KUZINGATIA UBORA WA VIFAA VINAVYONUNULIWA

Posted on: November 23rd, 2023

Na. Shinyanga RS.

MKUU wa mkoa wa shinyanga Mhe. Christina S. Mndeme amefanya ziara ya kukagua miradi ya maendeleo ikiwemo ujenzi wa shule mpya ya Ngokolo Sekondari iliyopo kata ya Ndembezi, Skimu ya Umwagiliaji na jengo la utawala Manispaa ya Shinyanga huku akiwaagiza wahandisi wa Halmashauri zote za mkoa kuzingatia na kufuatilia ubora wa vifaa vyote vya ujenzi vinavyonunuliwa kwa ajili majengo ya serikali.

Agizo hili amelitoa mara baada ya kutilia shaka ubora wa bati zikizotumika kwenye ujenzi wa shule ya sekondari ngokolo ambapo bati lilionekana kuwa laini jambo ambalo lilileta shaka kwa Mhe Mndeme.

"Nawaagiza Wahandisi wa Halmashauri zote hapa Mkoa wa Shinyanga kuhakikisha kuwa wanazingatia ubora na viwango vya vifaa vya ujenzi vinavyonunuliwa, na hii ni kwa mkoa mzima naagiza," alisema Mhe. Mndeme.

Mhe. Mndeme ameyasema hayo alipokuwa akifanya majumuisho ya ziara yake iliyokuwa imejumuisha viongozi wa serikali na chama huku akiwasisitiza waandisi kutumia muda mwingi kukagua na kusimamia miradi yaserikali kwakuwa Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ametoa fedha nyingi kutekeleza miradi hii kwa maendeleo ya wananchi.

Huu ni muendelezo wa ziara zake za ukaguzi wa miradi ya maendeleo katika Halmashauri za Mkoa wa Shinyanga, ambapo kwa Manispaa ya Shinyanga amekagua ujenzi wa shule ya ngokolo, mradi wa skimu ya umwagiliaji Kitangili na ujenzi wa jengo la Utawala ofisi ya mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga ambapo pamoja na maelekezo yake kwa wataalamu, lakini ameridhishwa na utekelezaji wa miradi hii.


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • MAISHA BAADA YA KUSTAAFU YANAHITAJI UTULIVU - DC. MTATIRO

    May 26, 2025
  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa