• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RC MNDEME, VIONGOZI WA DININA WANANCHI WA MKOA WA SHINYANGA WAFANYA DUA NA SALA MAALUM YA KUMUOMBEA HAYATI ALI HASSANMWINYI

Posted on: March 4th, 2024

Na. Shinyanga RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Mndeme amuungana na viongozi wa dini mbalimbali wa Serikali pamoja na wananchi Mkoani Shinyanga katika dua na sala ya kumuombea pumziko la amani Hayati Ali Hassan Mwinyi aliyekuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania aliyefariki tarehe 29 Februari, 2024 huku akiwaomba wananchi wote kufika Ofisi ya Mkuu wa Mkoa kusaini Kitabu cha Maombolezo.

Dua na Sla hii imefanyika leo Machi 4, 2024 katika Viwanja vya Sabasaba vilivyopo Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga ambapo pamoja na kumuombea Hayati Ali Hassan Mwinyi, pia wameliombea Taifa linaloongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ili aendelee kuwahudumia vema na kuwaletea maendeleo yanayoonekana kama ilivyo kwa Mkoa wa Shinyanga.

“Ndugu zangu viongozi wa Dini, Serikali na wananchi wa Mkoa wa Shinyanga kutoka Madhehebu mbalimbali tumekusanuika hapa ili tumombee Dua na Sala Rais wetu Mstaafu Hayati Ali Hassan Mwinyi ili Mwenyezi Mungu ampokee katika Ufalme wake na ampatie pumziko la Amani,”amesema RC Mndeme.

RC MNDEME ameongeza kusema kuwa, tumuombee pia Rais wetu Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa msiba huu mzito ambao ameupata kwa kuondokewa na kiongozi mkubwa ambaye alikuwa akimtegemea pia katika ushauri mbalimbali namna ya kuongoza nchi na kuwatumikia watanzania huku akiwatakia faraja familia ya marehemu inapopitia kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wao.

Kwa upande wake Sheikh wa Mkoa wa Shinyanga Ismail Makusanya, akizungumza kwenye maombi haya, amesema katika Mkoa huu hawatamsahau Hayati Mwinyi kwa kutatua mgogoro mkubwa ambao ulikuwapo wa kiimani, ambapo aliutatua na kudumisha amani.


HABARI PICHA


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa