• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

RCC YAPITISHA AZIMIO LA KUMPONGEZA MHE. RAIS DKT. SAMIA SULUHU HASSAN

Posted on: March 7th, 2024

Na. Shinyanga RS.

KAMATI ya Ushauri ya Mkoa (RCC) Mkoa wa Shinyanga imepisha azimio la kumpongeza kwa dhati kabisa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa kazi nzuri na njema anayoifanya ya kuwaletea maendeleo wananchi wote wa Tanzania wakiwemo na wakazi wa Shinyanga.

Azimio hili limepisha katika kikao hicho tarehe 7 Machi, 2024 kilichofanyika katika ukumbi wa Chuo cha Ualimu Shinyanga na kuhudhuriwa na wanjumbe, viongozi mbalimbali wa Serikali, Chama Cha Mapinduzi, viongozi wa Dini na wadau wa maendeleo ambapo pamoja na azimio hili lakini pia Mwenyekiti wa kikao hiki Mhe. Christina  Mndeme amewataka Maafisa Mifugo kuwafikia wafugaji, kuwaelimisha na kuwasaidia namna bora ya kufuga kisasa, kutibu mifugo ili iwe yenye tija.

RC Mndeme pia ameziagiza Halmashauri zote kutenga eneo maalum kwa ajili ya kufugia na malisho lengo ni kuwawezesha wafugaji kuwa na mifugo mingi ambayo itakuwa inachinjwa na kusafiroshwa nje ya Mkoa wa Shinyanga ukizingatia Manispaa ya Shinyanga inayo machinjio ya kisasa kabisa lakini mifugo inaonesha kupungua.

RCC pamoja na mamno mengine, lakini pia imefikia uamuzi wa kukiomba Kiwanda kilichokuwa cha nyama ambacho kipo Manispaa ya Shinyanga na maeneo yake ili kirudishwe Manispaa na kuanza kuendeshwa na Halmashauri hii kwakuwa kilikuwa msaada mkubwa kwa wananchi.

Kwa upande wake Mbunge wa Jimbo la Shinyanga Mjini Mhe. Patrobass Katambi ambaye pia ni Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Kazi, Vijana, Ajira, na Wenye Ulemavu) ameshauri eneo lililopo Ndembezi kurejeshwa kwa wananchi ili wafanye maendeleo ukizingatia kuwa eneo hilo lwnye ukubwa wa zaidi ya hekari 5 hailitumiki kwa muda mrefu sasa.


HABARI PICHA


Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • ENDELEENI KUTOA ELIMU ZAIDI KUHUSU AFYA YA AKILI - DC. MBONI

    May 30, 2025
  • TAKUKURU SHINYANGA YAANZA KUCHUKUA HATUA DHIDI YA UBADHIRIFU WA SHILINGI MILIONI 92 ZA WAKULIMA WA TUMBAKU WA USHETU - DONASIAN.

    May 27, 2025
  • MAISHA BAADA YA KUSTAAFU YANAHITAJI UTULIVU - DC. MTATIRO

    May 26, 2025
  • MAFUNZO YA IPOSA NI MKOMBOZI KWA VIJANA WALIO WENGI WANAOKOSA FURSA YA ELIMU YA KAWAIDA - RC. MACHA

    May 23, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa