• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI INATAMBUA NA KUTHAMINI KAZI ZENU WORLD VISION - RC MACHA

Posted on: April 30th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amesema kuwa Serikali inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inatambua na kuthamini sana kazi zote zinazofanywa na Mashirika mbalimbali yasiyokuwa ya Kiserikali likiwemo la World Vision Kanda ya Ziwa.

RC Macha ameyasema haya tarehe 29 Aprili, 2024 katika mazungumzo na Viongozi mbalimbali wa World Vision Kanda ya Ziwa ukiongozwa na Meneja wa Kanda Bi. Jacqueline Kaihura ofisini kwake ambapo pamoja na mambo mengine amewaahidi ushirikiano kutoka Serikalini wakati wote huku akiwapongeza sana kwa namna wanavyotekeleza miradi yao ambayo inagusa maisha ya wananchi wa Shinyanga na maeneo mengine nchini.

"Napenda kuwaambia kwamba, Serikali inayoongozwa na Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan inatambua, inathamini kazi zote mnazozifanya World Vision Kanda ya Ziwa na jwa muktadha huu Serikali itaendelea kufanya kazi nanyi wakati wote, hongereni sana na karibuni tena Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga," amesema RC Macha.

Uongozi wa World Vision Kanda ya Ziwa wamefika Ofisini kwa RC Macha kwa lengo kujitakbulisha kwake na kueleza shughuli mbalimbali zinazotekelezwa katika Kanda hii ya Ziwa ambayo inajumuisha Mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Tabora.

Kwa Mkoa wa Shinyanga WVT wanatekeleza miradi katika Wilaya ya Kishapu, Kahama na Shinyanga DC ambapo kuna miradi ya muda mfupi ambao ni  GROW na NOURISH inayojumuisha afya ya mama na mtoto kuinua kipato cha familia, lishe na kilimo.

Huku miradi ya muda mrefu ikitajwa kuwa ni Kilago Area Program, Lagana Area Program na Mwakipoya Area Program.


HABARI PICHA



Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa