• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Serikali kutatua changamoto Chuo cha Ualimu Shinyanga

Posted on: February 27th, 2019

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu amewahakikishia wanafunzi wa chuo cha ualimu Shinyanga (SHYCOM) kuwa Serikali itatatua changamoto zao zinazowakabili ili wasome katika mazingira mazuri.

Akizungumza na wanafunzi wa chuo hicho katika ziara yake Mkoani Shinyanga mapema leo tarehe 27 /02/2019, Mhe. Samia amemuagiza Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi kuhakikisha changamoto zilizotajwa na wanafunzi hao ikiwemo maji na maktaba zinashughulikiwa haraka.

Ikiwa ni siku ya pili ya ziara yake, Mhe. Samia amekagua ujenzi wa Ofisi ya Mamlaka ya Maji Kahama na Shinyanga (KASHWASA) inayojengwa na Serikali kuu kwa gharama ya sh. Bil. 1.7 ambayo ujenzi wake umefika asilimia 85 na inatarajiwa kuanza kazi mwezi Mei mwaka huu.

Wakati huo huo, Mhe. Samia amefungua pia bwalo la chakula katika shule ya msingi Buhangija na kuwaomba wadau mbalimbali kuendelea kusaidia kupunguza changamoto kama ilivyofanya kampuni ya Simba Logistics kujenga bwalo hilo.

Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI Mhe. Mwita Waitara, ameahidi kushughulikia suala la uzio katika shule hiyo kwa kushirikiana na Wizara ya Elimu kwa namna yoyote ile.

Naye Naibu Waziri wa Elimu aliyeambatana na Mhe. Samia amesema kuwa Wizara ya Elimu inafanyia kazi suala la kuongeza walimu hasa wa wanafunzi wa mahitaji maalumu kwa kuongeza udahili wa walimu wa masomo hayo na kuongeza mikopo ya elimu ya juu kwa walimu hao.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa