• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

SERIKALI MKOANI SHINYANGA YAKABIDHIWA MADAWA KUTOKA WORLD VISION TANZANIA,

Posted on: November 12th, 2024

Na. Paul Kasembo, SHY RS.

MGANGA Mkuu Mkoa wa Shinyanga Daktari. Yudas Ndungile kwa niaba ya Serikali ya Mkoa amepokea Madawa kwa ajili ya kukinga magonjwa ya kuhara na kipindupindu kutoka Shirika la World Vision Tanzania vyenye gharama ta Tzs. Milion 5 Lengo ni kuwakinga wananchi na magonjwa ya kuharisha na kipindupindu mkoani Shinyanga ikiwa ni sehemu ya ushirikiano wa dhati baina ya Serikali na Mashirika Binafsi katika utoaji wa huduma za afya.

Ameyasema haya leo tarehe 12 Novemba, 2024 wakati akikabidhiwa Madawa kwa ajili ya kukinga magonjwa ya kuhara na kipindipindu Mkoa wa Shinyanga ambavyo ni drip za maji, vidonge vya kutakasa maji nk. katika utekelezaji wa awamu ya kwanza (1) wa kuzuia magonjwa ya mlipuko.

“Nawapongeza sana Shirika la World Vision kwa ushirikiano mzuri ambao mmekuwa mkiuonesha kwa Serikali kupitia sekta ya afya kwani madawa haya yanakwenda kutusaidia kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindukipindu na maradhi mengine katika msimu huu wa mvua”, amesema Daktari. Yudas.

Akikabidhi vifaa tiba kwa niaba ya Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la World Vision Tanzania, Kaimu Meneja wa Kanda ya Ziwa Bi. Shukrani Dickson amesema wameguswa na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu uliotokea Wilaya ya Kishapu hivyo wameitikia wito kwa kutoa dawa hizi huku akiwaasa wananchi kuzingatia usafi na utunzaji wa mazingira katika makazi yao ili kuzuia ugonjwa huu kusambaza zaidi.

Shirika la Wold Vision Tanzania linashirikiana na Serikali na wadau wengine katika ngazi zote kuboresha mfumo wa huduma za afya kwa kutoa vifaa kinga na tiba ili kukabiliana na mlipuko wa ugonjwa wa kipindupindu hasa Wilaya ya Kishapu.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa