• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Serikali yaagiza kila Mkoa kuunda mabaraza ya Wazee

Posted on: July 25th, 2018

Naibu Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Mhe. Dkt. Faustine Ndugulile amemuagiza Katibu Mkuu wa Wizara hiyo kuhakikisha Mikoa yote inaunda mabaraza ya Wazee na kuwapa nyenzo muhimu kwa ajili ya shughuli zao kabla ya Mwaka huu kuisha.

Mhe. Ndugulile ametoa agizo hilo jana wakati akizindua rasmi jengo la makazi ya Wazee katika kata ya Kolandoto, Manispaa ya Shinyanga.

Mhe. Ndugulile amesema kuwa, Serikali ina mikakati mbalimbali ya kuwaenzi Wazee ili kupata busara na ushauri wao ndiyo maana kumeanzishwa mabaraza ya Wazee.

Ameipongeza Serikali ya Mkoa wa Shinyanga kwa kufanya vizuri kuanzisha mabaraza ya Wazee kuanzia ngazi ya kijiji hadi Mkoa na kuwapatia vitendea kazi ikiwepo Ofisi.

“Nitumie fursa hii kukumbusha Mikoa mingine ambayo bado haijaanzisha mabaraza ya Wazee ifanye hivyo mara moja, ni agizo la Serikali tunataka mabaraza ya Wazee kwenye kila Mkoa ndani ya nchi yetu na kuwapatia nyenzo za kufanya kazi” amesema Mhe. Ndugulile.

Mhe. Ndugulile pia amesisitiza agizo la kuhakikisha wazee wote wenye umri wa miaka 60 na kuendelea wanapatiwa kadi za matibabu, kila kituo cha kutolea huduma za Afya kuweka madirisha ya tiba kwa wazee na kuwapa kipaumbele wanapofika kwenye vituo hivyo.

Aidha, amempongeza Katibu Mkuu kwa usimamizi mzuri wa jengo bora kwa ajili ya wazee wasiojiweza katika kata ya Kolandoto na ukarabati wa miundombinu muhimu.

Awali akitoa shukrani kwa Mhe. Naibu Waziri, mwenyekiti wa Baraza la Wazee Mkoa wa Shinyanga ndg. Faustine Sengerema ameiomba Serikali kuona uwezekano wa kupitia upya Sheria ya kulinda maslahi ya Wazee nchini.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa