• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

SHINYANGA: VITUO VYA AFYA 331 KUSAJILIWA KWENYE MFUMO WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BIMA (TIRA)

Posted on: September 9th, 2025

Zaidi ya vituo 331 vya kutolea huduma za afya katika mkoa wa Shinyanga vinatarajiwa kusajiliwa katika mfumo wa Mamlaka ya Usimamizi wa Bima Nchini (TIRA) ikiwa ni sehemu ya maboresho ya huduma kwa wananchi kupitia mpango wa bima ya afya kwa wote.

Zoezi hilo linaendeshwa kwa muda wa Siku tano Mfululizo na na Afisa TEHAMA wa Mkoa wa Shinyanga Bwana Ammy Mohamed, Ofisi ya Mganga Mkuu wa Mkoa kwa kushirikiana na Paul Nicholaus ambaye ni Afisa TEHAMA kutoka Mamlaka ya Usimamizi wa Bima (TIRA) – Kanda ya Magharibi, wakitembelea halmashauri zote sita za mkoa huo.

Kwa mujibu wa Ammy Mohamed, usajili huo utasaidia kuondoa changamoto mbalimbali zilizokuwepo awali kwenye utoaji wa huduma za bima ya afya, sambamba na kuhakikisha upatikanaji wa taarifa sahihi kwa wakati kwa ajili ya kufanya maamuzi ya kitaasisi na kisera.

Kwa upande wake, Paul Nicholaus alibainisha kuwa utekelezaji wa usajili huu ni agizo la Serikali katika kuimarisha mifumo ya Afya ya kidigitali ili kusaidia kufanikisha dira ya taifa ya kufikia bima ya afya kwa wote.

Hatua hii ni sehemu ya dhamira ya Serikali ya Awamu ya Sita inayoongozwa na Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ya kuhakikisha kila Mtanzania anapata huduma bora, nafuu na endelevu za afya kupitia mfumo wa bima kwa wote.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • TRA MSIFUNGE BIASHARA KWA CHANGAMOTO ZINAZOTATULIKA – RC MBONI MHITA

    September 10, 2025
  • KAMISHNA WA URAIA NA PASPOTI AMTEMBELEA MKUU WA MKOA WA SHINYANGA, AZUNGUMZIA MABORESHO YA HUDUMA ZA UHAMIAJI

    September 10, 2025
  • SHINYANGA: VITUO VYA AFYA 331 KUSAJILIWA KWENYE MFUMO WA MAMLAKA YA USIMAMIZI WA BIMA (TIRA)

    September 09, 2025
  • WATAHINIWA 41,463 KUFANYA MTIHANI WA DARASA LA SABA SHINYANGA

    September 09, 2025
  • Angalia zote

Video

RC MHITA AZINDUA DAWATI MAALUM LA UWEZESHAJI BIASHARA TRA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    OFISI YA MKUU WA MKOA, MKOA WA SHINYANGA, 04 MTAA WA BOMA

    Anuani: P.O.Box 37180,SHINYANGA, TANZANIA

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa