• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Shinyanga yapata magari yenye thamani ya sh. mil 189 kwa ajili ya shughuli za UKIMWI

Posted on: February 7th, 2019

Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Zainab Telack amepokea magari mawili yenye thamani ya sh. Mil. 189.5 jana tarehe 06/02/2019 kutoka Shirika la AGPAHI, kwa ajili kutoa huduma za masuala ya VVU na UKIMWI katika Halmashauri za Kahama Mji na Ushetu.

Akikabidhi magari hayo kwa Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi Mkazi wa shirika hilo linalojishughulisha na kutokomeza maambukizi ya VVU na UKIMWI hususani kwa watoto, Dkt. Sekela Mwakyusa amesema lengo kubwa ni kusaidia masuala ya ufuatiliaji na kufikisha huduma kwa jamii.

Dkt. Mwakyusa ameongeza kuwa, shirika litaendelea kutoa magari hayo kwa Halmashauri nyingine kwani wanatambua kuwa mahitaji bado ni makubwa kwa Mkoa wa Shinyanga, lakini pia wameanza na Wilaya ya Kahama kwa sababu ya idadi kubwa ya watu na eneo kuliko maeneo mengine Mkoani hapa.

Naye Mhe. Telack amewashukuru shirika la AGPAHI kwa magari hayo, lakini pia pamoja na wadau wengine wa sekta ya Afya kwa ushirikiano mkubwa na Serikali ya Mkoa kwa kazi kubwa wanayofanya na matokeo yake kiwango cha maambukizi ya UKIMWI kimeshuka kutoka 7.4 mwaka 2017 hadi 4.6 mwaka huu.

“Kazi mnayofanya ni kujenga familia za Watanzania hivyo muendelee kufanya kazi hiyo nzuri, Shinyanga kuna migodi mingi na kule wanakaa wananchi wengi hasa vijana, hivyo kupitia magari haya wataalamu wetu watafika na kutoa huduma huko”. 

Amewataka Wakurugenzi wa Halmashauri za Kahama Mji na Ushetu kuhakikisha magari hayo yanakwenda kufanya kazi iliyokusudiwa.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa