• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

Shirika la WFT kuanza kuwezesha shughuli za wanawake Mkoani Shinyanga

Posted on: May 31st, 2019

Shirika la kijamii la "Women Fund Tanzania" lenye lengo la kuendeleza shughuli za utetezi wa haki za wanawake limetambulisha mradi wake katika Mkoa wa Shinyanga.

Akitambulisha mradi huo kwa uongozi wa Mkoa mapema jana tarehe 30 Mei, 2019 katika Hoteli ya Karena, Mkuu wa Program za miradi Bw. Carol Francis Mango amesema kuwa Shirika la WFT linawezesha utekelezaji wa mpango wa Taifa wa kutokomeza ukatili dhidi ya wanawake na watoto (MTAKUWWA) pamoja na mikakati mingine yote ya kutetea haki za wanawake.

Bw. Carol amesema, shirika hilo litaanza majaribio katika Halmashauri Wilaya ya Shinyanga na linajikita katika maeneo matatu ambayo ni utoaji wa ruzuku na uimarishaji wa uwezo wa wanawake, ujenzi wa mikakati ya kuimarisha mitandao ya wanawake na utafutaji wa rasilimali.

Naye Bi. Glory Mbia, Afisa mradi wa Shirika hilo amesema lengo la shirika ni kuchangia katika kujenga tapo la wanawake imara nchi Tanzania kwa kufadhili na kuimarisha uwezo wa wanawake kwa kuendeleza mikakati ya kunganisha nguvu za pamoja na kutafuta rasilimali.

Katibu Tawala wa Wilaya ya Shinyanga Bw. Boniphace Chambi, aliyekuwa mgeni rasmi wa utambulisho wa mradi huo amesema Serikali ya Mkoa na Wilaya ya Shinyanga itawapa ushirikiano wa kutosha shirika hilo ili liweze kutekeleza mradi.

Bi Glory Mbia, Afisa wa Shirika la WFT akitoa maelezo kuhusu mradi wa kuwezesha wanawake katika kutetea haki zao


Bw. Carol Mango akitoa maelezo kwa washiriki wa kikao kuhusu mradi wa WFT unavyofanya kazi katika kuwezesha shughuli za kuendeleza wanawake

Baadhi ya washiriki wa kikao cha kutambulisha mradi wa WFT wakifuatilia kwa makini maelezo kuhusu mradi huo

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa