• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

SINTOKUWA NA MSAMAHA KWA MKANDARASI ATAKAYECHELEWESHA KAZI - MHE. BASHUNGWÀ

Posted on: November 30th, 2024

Na. Paul Kasembo, USHETU

WAZIRI wa Ujenzi Mhe. Innocent Bashungwa (MB) amesema kuwa hatokuwa na msamaha kwa Mkandarasi yeyote atakayechelewesha kazi aliyopewa kwa kisingizio chochote kwakuwa upande wa Serikali kila kitu imewakamilishia ikiwemo fedha.

Mhe. Basungwa ameyasema haya leo tarehe 30 Novemba, 2024 alipokuwa kwenye ziara ya ukaguzi wa miradi ikiwemo ya ujenzi wa Dadaraja la Kasenga (60m), Ubagwe (40m), Nh'wande (40m) na Mwabomba katika Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu yenye thamani ya zaidi ya Bilioni 18 huku akisisitiza kuwa Mhe. Rais Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza kuboreshwa kwa miundombinu iliyoharibiwa na mvua za El - nino.

"Sintokuwa na msamaha kwa Mkandarasi yeyote atakayechelewesha kazi kwa singizio cha aina yoyote kwakuwa Serikali imekwishatekeleza sehemu yake kwnu wakandarasi ikiwemo fedha zenu, na katika hili sisi Wizara tutafuatilia na kusimamia kwa karibu zaidi kuona utekelezaji wake," amesema Mhe. Bashungwa.

Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Anamringi Macha amesema kuwa anamshukuru nakumpongeza sana Mhe. Rais kwa kuendelea kuipatia fedha Shinyanga ambapo kupitia Wizara ya Ujenzi imepata zaidi ya Bil. 18 ambazo zinakuja kuboresha na kuimarisha miundombinu Shinyanga jambo ambalo litawezesha muunganiko kuwa rahisi kwa Mikoa jirani ya Tabora na Geita.

Mkoa wa Shinyanga kwa mwaka wa fedha 2023/2024 ulikumbwa na athari ya kuharibika kwa miundombinu ya Barabara na Madaraja kutokana na mvua nyingi za El- nino, zilizonyesha takribani katika maeneo yote nchini. Kwa Mkoa wa Shinyanga, madaraja ya Ubagwe, Kasenga na Ng’hwande katika barabara ya Mwabomba – Igombe River na Nyandekwa – Ng’hwande katika jimbo la Ushetu wilaya ya Kahama yalipata madhara makubwa sana.

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • KIKAO CHA MAPITIO YA ROBO MWAKA KWA KIPINDI CHA OKT - DES 2024 CHA (PJT MMMAM) CHAFANYIKA MKOANI SHINYANGA.

    February 28, 2025
  • RCC SHINYANGA YARIDHIA MAPENDEKEZO NANE (8) YA MATUMIZI BORA YA ARDHI.

    February 27, 2025
  • KUKAMILISHWA KWA MIRADI YA BARABARA KUTAPUNGUZA KERO KWA WANANCHI – RC MACHA

    February 26, 2025
  • WALIMU, TOENI ELIMU INAYOENDANA NA MABADILIKO YA TEKNOLOJIA -RC MACHA

    February 24, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa