• Wasiliana nasi |
    • Maswali ya Mara kwa Mara |
    • Barua Pepe za Watumishi |
    • Malalamiko |
    • eVibali |
Shinyanga Region

Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ofisi ya Rais Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa Mkoa wa Shinyanga

  • Mwanzo
  • Kuhusu Sisi
    • Historia
    • Dira na Dhima
    • Maadili Yetu
    • Mikakati
  • Utawala
    • Muundo wa Sekretarieti ya Mkoa
    • Idara
      • Utawala na Rasilimaliwatu
      • Mipango na Uratibu
      • Uchumi na Uzalishaji
      • Miundombinu
      • Elimu
      • Serikali za Mitaa
      • Maji
      • Afya
    • Vitengo
      • Uhasibu na Fedha
      • Ukaguzi wa Ndani
      • TEHAMA
      • Sheria
      • Ugavi na Manunuzi
  • Wilaya
    • Wilaya ya Shinyanga
    • Wilaya ya Kahama
    • Wilaya ya Kishapu
  • Halmashauri
    • Halmashauri ya Manispaa ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Shinyanga
    • Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu
    • Halmashauri ya Mji wa Kahama
    • Halmashauri ya Wilaya ya Ushetu
    • Halmashauri ya Wilaya ya Msalala
  • Fursa za Uwekezaji
    • Vivutio vya Utalii
    • Kilimo
    • Mifugo
    • Madini
    • Bandari Kavu
  • Huduma
    • Kutoa Ushauri wa Kitaalam
    • Kutafsiri Sheria na Sera
    • Kuratibu Shughuli za Wadau
    • Ulinzi na Usalama
  • Machapisho
    • Miongozo
    • Taratibu
    • Ripoti
    • Fomu
    • Tafiti
  • Kituo cha Habari
    • Taarifa kwa vyombo vya Habari
    • Hotuba
    • Maktaba ya Video
    • Maktaba ya Picha

TENGENI VYUMBA MAALUM VYA FARAGHA KATIKA MASOKO YOTE KWA AJILI YA AKINA MAMA KUNYONYESHA WATOTO - RC MNDEME

Posted on: September 12th, 2023

Na. Shinyanga RC

MKUU wa Mkoa wa Shinyanga Mhe. Christina Solomon Mndeme ameziagiza Halmashauri Mkoani Shinyanga kutenga vyumba maalum kwa ajili ya kunyonyeshea na kucheza watoto kwa wafanyabiashara wanawake wenye watoto wadogo wakiwa katika shughuli zao.

Mhe. Mndeme ameyasema hayo alipotembelea, kukagua ujenzi wa vyumba vya biashara, kuzungumza na wafanyabiashara, kusikiliza pamoja na kutatua kero zao katika soko kuu la Manispaa ya Shinyanga.

Rc mndeme amesema kuwa, akina mama wanayo haki ya kuwa na faragha wakati wa kunyonyesha watoto wao jambo ambalo linapaswa kuzitekelezwa na Halmashauri zote katika masoko yote vyumba ambavyo vitatumika pia kuchezea watoto kwa kuwa ni salama na sahihi kwao.

"Naziagiza Halmashauri zote hapa Mkoa wa Shinyanga mtenge vyumba maalum vya faragha katika masoko yenu yote ili akina mama waweze kuwanyonyesha kwa faragha na kuwaacha watoto wao humo kucheza wakati wakiendelea na shughuli zao," alisema Mhe. Mndeme.

Kwa upande wake Mkurugenzi wa Manispaa ya Shinyanga Mwl. Alexius Kagunze alimhakikishia Mhe. Mndeme kuwa maelekezo yote aliyotoa wameyapokea na watayafanyia kazi kwa haraka zaidi na kwa weledi mkubwa ili kuwatekelezea takwa hilo muhimu akina mama.

Mheshimiwa Mndeme amefanya ziara hii hapa Manispaa ya Shinyanga kwa lengo la kuona maendeleo ya ujenzi wa vyumba 106 vya biashara katika soko kuu la Manispaa ya Shinyanga linalo gharimu zaidi ya Tzs. Bilioni 1.8 fedha zitokanazo na mapato ya ndani.

Picha mbalimbali zikionesha Mhe. Mndeme akiwa katika ukaguzi wa vyumba vya biashara pamoja na kuzungumza na wafanyabiashara katika soko kuu la Manispaa ya Shinyanga

Matangazo

  • No records found
  • Angalia zote

Habari Mpya

  • WANUFAIKA WA MIKOPO YA 10% LIPENI KWA WAKATI ILI PIA VIKOPESHWE NA VIKUNDI VINGINE - RC MACHA

    February 13, 2025
  • CP. HAMDUNI AKUTANA NA KAMATI YA MICHEZO YA JWTZ

    February 13, 2025
  • WANANCHI, LIPENI KODI YA ARDHI KWA WAKATI MUEPUKE RIBA - LEO KOMBA

    February 12, 2025
  • WAJUMBE WA BODI, TUMIENI TAALUMA ZENU KUISAIDIA HOSPITALI KUKAMILISHA MIRADI YA UJENZI- RAS CP. HAMDUNI.

    February 11, 2025
  • Angalia zote

Video

MIFUKO BANDIA ZAIDI YA ELFU 20 YAKAMATWA SHINYANGA
Video Nyinginezo

Viunganishi vya Haraka

  • Historia
  • Dira na Dhima
  • Hotuba Mbalimbali
  • Video Mbalimbali
  • Maswali yaulizwayo mara kwa mara
  • Picha za Matukio
  • Miongozo na kanuni

Viunganishi Linganifu

  • Tovuti ya Ikulu
  • Mfumo wa kutuma, kupokea na kufuatilia malalamiko, mapendekezo, maulizo na pongezi
  • Ofisi ya Rais Menejimenti ya utumishi wa Umma
  • Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa
  • Ofisi ya Takwimu ya Taifa
  • Tovuti Kuu ya Serikali

World visitors tracker

world map hits counter

Visitors Counter

free HitCounter

Ramani ya Eneo

Wasiliana nasi

    Boma Street, Mwanza Road

    Anuani: P.O.Box 320, Shinyanga

    Simu: +255 28 2762222

    Simu ya Mkononi:

    Barua Pepe: ras@shinyanga.go.tz

Other Contacts

   

    • Sera ya Faragha
    • Kanusho
    • Ramani ya Tovuti

Hakimiliki@2018. Mkoa wa Shinyanga. Haki zote zimehifadhiwa